Mishahara ya wachezaji Simba SC msimu 2017/18 - Niyonzima kinara.

huu ndio ujinga wa soka la tanzania. wachezaji wazawa ndo wanapata vijicent tu. maproo uchwara ndo wanapeta. kweli kichuya alipwe kale kahela? haipendezi
Huna akili hata ndogo ya biashara na HR!
Kichuya ndio huko kwenye first contract ya two years means hajaongeza terms za mshahara. Alupokuwa anasajiliwa kutokea mtibwa hakuwa star so hakuwa na bargaining power. Endapo akuongeza contract kuna high chance ya kufkisha 5M. Same kwa mzamiru na Mo.

Haruna kaja kama star na tyr alkuwa akipata masilahi makubwa akiwa yanga, same kwa Okwi na Bocco.
 

Umetoa shule nzuri sana kama mdau wa usimamizi wa Rasilimali watu.

Hata hivyo kitu ambacho mimi huwa nashauri waajiri wazuri ni kutokukariri. Believe me ikifanyika salary increament kwa utatu huu kutoka Mtibwa hata kabla ya kuingia ktk terms mpya, watakuwa wamewafanya kuwa raia kamili wa familia ya Wanamsimbazi. Hawatapata shida hata ya wakati wa kuingia katk mkataba mpya. Simba wanipe kazi ya ushauri ili wachezaji wawe engaged zaidi kwa ajili ya mafanikio makubwa na endelevu
 
Hawa simba ni wapuuzi sana, sijui wanesoma WAP management unawachezesha VIP wachezaj kwenye team Moja huku mmoja analipwa million nane na nwingine moja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli Tanzania nchi maskini, ndo mishahara midogo namna hiyo jamani.
 
Waboreshe Maslahi ya wachezaji hizi ni pesa kidogo sana jamani
 
Wakati mwingine sio busara kuweka hadharani mishahara ya watu ili kuepuka usumbufu kwa wanafamilia...

Ikiwa hii taarifa iko sahihi japo haina chanzo chochote jambo linalopelekea kuitilia shaka....



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…