Mishahara ya wachezaji Simba SC msimu 2017/18 - Niyonzima kinara.

Mishahara ya wachezaji Simba SC msimu 2017/18 - Niyonzima kinara.

demigod

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2015
Posts
8,292
Reaction score
15,250
Hii ndio wage bill ya Klabu ya Simba SC kwa msimu 2017/18. Takriban milioni 100 kila mwezi kutumika kulipa mishahara tu.

Kiungo wa zamani wa mabingwa wa kihistoria Dar es Salaam Young Africans SC aongoza.
WB-SIMBASC.PNG
 

Attachments

huu ndio ujinga wa soka la tanzania. wachezaji wazawa ndo wanapata vijicent tu. maproo uchwara ndo wanapeta. kweli kichuya alipwe kale kahela? haipendezi
Huna akili hata ndogo ya biashara na HR!
Kichuya ndio huko kwenye first contract ya two years means hajaongeza terms za mshahara. Alupokuwa anasajiliwa kutokea mtibwa hakuwa star so hakuwa na bargaining power. Endapo akuongeza contract kuna high chance ya kufkisha 5M. Same kwa mzamiru na Mo.

Haruna kaja kama star na tyr alkuwa akipata masilahi makubwa akiwa yanga, same kwa Okwi na Bocco.
 
Huna akili hata ndogo ya biashara na HR!
Kichuya ndio huko kwenye first contract ya two years means hajaongeza terms za mshahara. Alupokuwa anasajiliwa kutokea mtibwa hakuwa star so hakuwa na bargaining power. Endapo akuongeza contract kuna high chance ya kufkisha 5M. Same kwa mzamiru na Mo.

Haruna kaja kama star na tyr alkuwa akipata masilahi makubwa akiwa yanga, same kwa Okwi na Bocco.

Umetoa shule nzuri sana kama mdau wa usimamizi wa Rasilimali watu.

Hata hivyo kitu ambacho mimi huwa nashauri waajiri wazuri ni kutokukariri. Believe me ikifanyika salary increament kwa utatu huu kutoka Mtibwa hata kabla ya kuingia ktk terms mpya, watakuwa wamewafanya kuwa raia kamili wa familia ya Wanamsimbazi. Hawatapata shida hata ya wakati wa kuingia katk mkataba mpya. Simba wanipe kazi ya ushauri ili wachezaji wawe engaged zaidi kwa ajili ya mafanikio makubwa na endelevu
 
Hawa simba ni wapuuzi sana, sijui wanesoma WAP management unawachezesha VIP wachezaj kwenye team Moja huku mmoja analipwa million nane na nwingine moja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli Tanzania nchi maskini, ndo mishahara midogo namna hiyo jamani.
 
Waboreshe Maslahi ya wachezaji hizi ni pesa kidogo sana jamani
 
Wakati mwingine sio busara kuweka hadharani mishahara ya watu ili kuepuka usumbufu kwa wanafamilia...

Ikiwa hii taarifa iko sahihi japo haina chanzo chochote jambo linalopelekea kuitilia shaka....



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom