Mishahara ya wafanyakazi na watumishi iendane na kiwango cha elimu, ugumu wa kazi au kiwango cha kazi anachofanya mhusika

Mishahara ya wafanyakazi na watumishi iendane na kiwango cha elimu, ugumu wa kazi au kiwango cha kazi anachofanya mhusika

Joined
Jul 16, 2021
Posts
2
Reaction score
2
Elimu ni uwekezaji kama aina nyingine za uwekezaji hivyo muwekezaji anategemea kupata faidia baadae, ila kuta baadhi ya taasisi au mashirika, mtu ana shahada ila analipwa mshahara wa astashahada.

Au unakuta sehemu mtu ana elimu ya dalasa la saba ila analipwa mshahara zaidi ya mtu mwenye shahada. Kama taifa liangalie suala hili kiundani ili kuboresha na kurekebisha mahali hapa.

Pia, kuna baadhi ya watumishi na waajiliwa sehemu mbalimbali, wanafanya kazi ngumu na nzito ila wanapata ujira mdogo sana ukilinganisha na kundi lingine la watu ambao hufanya kazi nyepesi na kwa muda mchache na kupokea ujira mkubwaaaaaa sana.

Asanteni
 
Hii issue inahitaji mjadala kwa maslahi mapana ya Taifa .kumekuwa na uonevu wa muda mrefu kwenye baadhi ya sekta ikionekana Kama vile hazina umuhimu kwenye maendeleo ya nchi kitu ambacho sio kweli.serikali ingeweka utaratibu wa kulipa mishahara sawa kwa kukingana na viwango vya elimu kwa waajiriwa wake wote then watu watofautiane posho (allowance) kulingana na ugumu wa kazi au masaa ya kufanya kazi. Note: Rais alisema tusilaumu tu bila kutoa mawazo mbadala .
 
ungetaja na mfano...yaani hao wa kaxi nyepesi nani ngumu?
 
Back
Top Bottom