Zooluline
JF-Expert Member
- Oct 15, 2012
- 206
- 102
Wlimu tumezoea kupata salary tar 25 mpaka 27 ya mwezi, but mwezi huu mpaka leo 28 kesho 29 bado migodi mikavu kulikoni?
Kuna latest nimeipata kwa jamaa yangu toka babati eti kuna process inafanyika kuongeza mzigo ( mshahara kuingezeka).
Namuuliza afisa utumishi wangu ananambia bado hata fedha hazijatumwa wilayani. Kulikoni?
Mtujuze wenye latest tafadhali...........
Kuna latest nimeipata kwa jamaa yangu toka babati eti kuna process inafanyika kuongeza mzigo ( mshahara kuingezeka).
Namuuliza afisa utumishi wangu ananambia bado hata fedha hazijatumwa wilayani. Kulikoni?
Mtujuze wenye latest tafadhali...........