Mishahara ya watangazaji wa Redio

Mishahara ya watangazaji wa Redio

Huwa nashangazwa post kama hii inapoletwa na mtoto wa kiume..,,,,!!!

Huwa najiuliza hivi anakuwa kweli hali gani kimawazo...!!?

Yaani kabisa mwanaume mwenye majukumu yako....unawezaje kuhangaishwa akili na jambo kama hili....!!!?

BTW

ITS A FREE WORLD.......
usishangae mkuu umbea skuizi ni ajila (shilawadu)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jana nilipita huko YouTube kucheck ile video ya TL anavyoitoa serikali jasho nilivyomaliza kuangali ikaja hiyo video ya huyo Dada nadhani alikuwa na mahojiano/story na yule Dada wa tabora, igunga aliyeimba nyimbo ile nakomaa na jiji kwa kweli yule Dada wa mawingu anatembea mzigo kichwani bila yeye kujua.
 
Kuna siku nilikua pale 777 club wakati huo ndo nimetoka darfull mission, nikakutana uso kwa uso na Aunt Ezekiel.... Nikajiuliza hivi huyu nikimtandika na $ 500 atachomoa kweli??? Baadae nikaamua kuondoka zangu tu kurudi home

Jipige kifuani mara tatu af sema wewe ni Genius na Mungu anakupenda sanaa...
 
Back
Top Bottom