Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
Maagizo mangapi anatoa na hamna utekelezaji, Bodi ni sehemu za wastaafu kupumzikia wakiwa wanaskilizia kikokotoo.Kosa lilifanywa na Serikali kuifuta Bodi ya Mishahara na Maslahi katika Utumishi wa Umma wairudishe,Rais aliisha toa maagizo zamani
Hii ndio roho ya kwanini,wewe kamwe sio mtumishi wa umma ndio maana unaandika huu utumbo.Mshara unapanda karibu kila mwaka, haitangaZwi ili wafanya biashara wasipandishe bidhaa.
Wafanyakazi wa serikali wana marupurupu, wana nyumba, wana likizo zinalipwa, wana simu za bure na vocha bado hawaridhiki.
Ah, mishahara yenyewe inakopwa NHIF na NSSF, ndio iwekwe incriment?Achana na ile annual incriment Kuna kitu huitwa Salary incriment hii aliiweza JK peke yake.
Hiyo annual incriment tangu awamu ya tano hadi leo imetokea sio zaidi ya Mara tatu
Lakini,ni watu nadhifu.Hawana baya.90% ya watumishi wa umma ni walimu, watu wa afya.
Hao watu maisha yao ni magumu balaa. Mishahara midogo sana.
Wafanyakazi wote wa umma walioko kwenye wizara, halmashauri maisha yao ni magumu sana, mishahara midogo sana na hakuna posho wala marupurupu.
Ni asilimia chache sana ya watumishi wa umma wanaokula mema ya nchi mfano walioko TRA, Ewura, Tanesco, REA, NIC, TIRA, nk. Hao mishahara yao angalau ni mizuri na wengine ni mizuri sana.
Najua concern ya serikali ni kwamba kuongeza mishahara kwa hao 90% ya watumishi ita sky rocket wage bills or payroll cost na utajikuta makusanyo yote yanaishia kwenye payroll.
Serikali iangalie namna ya kuboresha maslahi ya watumishi wa umma.
Sasa kama kuna wi-fi tufanyejeKazi hamfanyi mkifika ofisini mpo busy kuchat arafu mnadai mishahara iongezwe kwa kazi ipi mnazofanya
mimi nakula mshahara wa UMMA na naona siutendei haki, tunalipwa posho hata kikao cha kujadili kitasa cha elfu 10 posho elfu hamsini.Hii ndio roho ya kwanini,wewe kamwe sio mtumishi wa umma ndio maana unaandika huu utumbo.
Idiotic response from an petty idiot.Fanya kazi acha kulialia...ukipata mshahara tafuta chanzo kingine cha mapato, ukiona huwezi acha kaz
Nchi iliyojaa ubinafsi...undugu..rushwa...ukanda rushwa..Asilimia 90 ya watumishi wa umma Tanzania ni wa daraja la kati, wengi ni walio na diploma. Mishahara ghafi yao ina range laki 6 mpaka laki 8.
Baada ya makato, wanaondoka na kama laki 5. Hapo ni kwa wale ambao hawana mikopo. Ukijumlisha mikopo (ambao wengi wanayo) utakuta mtumishi anaondoka na laki 2, 3. Ukiangalia salary slip ya mtumishi wa umma wa sasa unaweza usiamini hayo makato yaliyomo humo ndani.
Utumishi wa umma wa sasa si kama wa zamani. Zamani watumishi wa umma ndiyo walikuwa wanaonekana wana chochote kitu mtaani. Ila kwa sasa watumishi wa umma ndiyo wamegeuka wasio na chochote mitaani. Wengi wanaishi kwa msaada wa mkopo wa mangi.
Mtumishi wa umma wa sasa anashindwa pesa hadi na boda boda. Kama boda boda anaingiza mkwanja mrefu zaidi kumshinda mtumishi wa umma tunategemea nini kama nchi? Thamani ya utumishi wa umma inabidi ilindwe.
Kama hadhi ya utumishi wa umma haitalindwa, basi tusitegemee watumishi wa umma ku-deliver vile inavyotakiwa, na kwa sababu ya mishahara kiduchu tutegemee hizo ripoti za CAG zikiendelea kuwa chafu kwa ubadhirifu wa pesa za miradi.
Pamoja na mishahara kiduchu ila serikali ikaona iwawekee na kikokotoo kiduchu kwenye kiinua mgongo. Yani ni full mateso.
Kingine kinachotia hasira ni kwamba wanasiasa wao wamejiwekea mishahara minono, na marupurupu lukuki. Na wakistaafu wanachukua viinua mgongo vyao kama vilivyo tena on time.
GoodFanya kazi acha kulialia...ukipata mshahara tafuta chanzo kingine cha mapato, ukiona huwezi acha kazi
Watumish gani hao we unasemea wakuu wa maidara na vitengo watumish walio wengi njaa kweliMshara unapanda karibu kila mwaka, haitangaZwi ili wafanya biashara wasipandishe bidhaa.
Wafanyakazi wa serikali wana marupurupu, wana nyumba, wana likizo zinalipwa, wana simu za bure na vocha bado hawaridhiki.
🤬🤬Good
Inasikitisha snNchi iliyojaa ubinafsi...undugu..rushwa...ukanda rushwa..
Andika maumivu.
Saivi kila mtu anawaza aibe aende
Usijumuishe waalimu, waalimu ni wanafki sana na ndio wametufikisha hapa, sema kundi lingine ?Watumish gani hao we unasemea wakuu wa maidara na vitengo watumish walio wengi njaa kweli
Sijui unamaanisha nini ila binafsi kazi zangu za site haswa so hela ya kazi isipotoka nikawa sijapata safari unataka nisi chart?Kazi hamfanyi mkifika ofisini mpo busy kuchat arafu mnadai mishahara iongezwe kwa kazi ipi mnazofanya
Hilo halikwepeki kuwa mtumishi haimaanishi hata miradi ya laki ushindwe kufanya do what is your purpose lazima kuna njia nyingine ya kupata Hela hata ikiwa ndogo
Utumishi wa umma ni usenge na hali hii imefika hapa kwa sababu ya ufisadi na ymalYa wa miCCMAsilimia 90 ya watumishi wa umma Tanzania ni wa daraja la kati, wengi ni walio na diploma. Mishahara ghafi yao ina range laki 6 mpaka laki 8.
Baada ya makato, wanaondoka na kama laki 5. Hapo ni kwa wale ambao hawana mikopo. Ukijumlisha mikopo (ambao wengi wanayo) utakuta mtumishi anaondoka na laki 2, 3. Ukiangalia salary slip ya mtumishi wa umma wa sasa unaweza usiamini hayo makato yaliyomo humo ndani.
Utumishi wa umma wa sasa si kama wa zamani. Zamani watumishi wa umma ndiyo walikuwa wanaonekana wana chochote kitu mtaani. Ila kwa sasa watumishi wa umma ndiyo wamegeuka wasio na chochote mitaani. Wengi wanaishi kwa msaada wa mkopo wa mangi.
Mtumishi wa umma wa sasa anashindwa pesa hadi na boda boda. Kama boda boda anaingiza mkwanja mrefu zaidi kumshinda mtumishi wa umma tunategemea nini kama nchi? Thamani ya utumishi wa umma inabidi ilindwe.
Kama hadhi ya utumishi wa umma haitalindwa, basi tusitegemee watumishi wa umma ku-deliver vile inavyotakiwa, na kwa sababu ya mishahara kiduchu tutegemee hizo ripoti za CAG zikiendelea kuwa chafu kwa ubadhirifu wa pesa za miradi.
Pamoja na mishahara kiduchu ila serikali ikaona iwawekee na kikokotoo kiduchu kwenye kiinua mgongo. Yani ni full mateso.
Kingine kinachotia hasira ni kwamba wanasiasa wao wamejiwekea mishahara minono, na marupurupu lukuki. Na wakistaafu wanachukua viinua mgongo vyao kama vilivyo tena on time.
Wamuache mama afanye kaziWalipaswa waombe kupunguziwa mishahara, hivi uliona kule Longido Makonda anamuuliza msimamizi kituo cha afya eti hawafanyi kazi wanasubiri bajeti ya laki moja kuja kuweka mafuta na chumvi kwenye jenereta.
Me tooNaunga mkono hoja
Ukiona idara unayofanya kazi mshahara mdogo tambua wewe ni mtoa huduma huingizii chochote serikali unataka tukupe mshahara mkubwa kwa kipi mbona siyeSijui unamaanisha nini ila binafsi kazi zangu za site haswa so hela ya kazi isipotoka nikawa sijapata safari unataka nisi chart?