Mishahara ya watumishi wa umma inapaswa ifanyiwe mapitio, haiakisi uhalisia wa maisha ya sasa

Watumishi wa umma ni wengi sana serikali ikisema kima chani kiwe 1.5M au 2M haitaweza kulipa hiyo mishahara

Labda waongeze privilege Kwa watumishi wa umma
 
Khaa wewe vipi asee Taasisi karibia zote zinaingiza hela kupitia ukataji wa leseni, maduhuri, fees, sasa sijui unasemaje TRA na tanesco ndo wanaingizia hela wenyewe
 
Walipaswa waombe kupunguziwa mishahara, hivi uliona kule Longido Makonda anamuuliza msimamizi kituo cha afya eti hawafanyi kazi wanasubiri bajeti ya laki moja kuja kuweka mafuta na chumvi kwenye jenereta.
Sio sahihi aliyeshangaa ni RC Nawanda.alishangaa halmashaur wameshindwa hata kilo 5 za chumvi ilimkusudi wazimix na mafuta jenereta liwake wkakawa wameshidwa.
 
mimi nakula mshahara wa UMMA na naona siutendei haki, tunalipwa posho hata kikao cha kujadili kitasa cha elfu 10 posho elfu hamsini.
Nyumba na usafiri ninao wa umma.
Bado safari na likizo nalipiwa mimi na watoto wangu.
Huwezi kuwa kwenye level za watumishi wa umma wa halmashauri au walimu usijue nini kinaendelea kwenye maslahi yao ila sawa tu maisha hayajagqnda yanaendelea, hongera kwa unae kula keki ya nchi kwa kujinafasi ipo siku na sisi tutafika nchi ya ahadi.
 
Wabunge wanaingiza nn? yapo mashirika yanaleta hasara miaka nenda rudi ila bado wanalipwa pesa ndefu ...Mishahara mikubwa inatokana uendeshaji na majukumu ya taasisi husika sio wnaaingiza kitu gani.

LATRA wana miashahara mikubwa kuliko TRA,. Je , nani anaingiza pesa kweny makusanyo? Zipo taasisi ndogo kama MSCL (shirika la meli ila wana pesa ndefu )
 
Watumishi wa umma ni wengi sana serikali ikisema kima chani kiwe 1.5M au 2M haitaweza kulipa hiyo mishahara

Labda waongeze privilege Kwa watumishi wa umma
Serikali inaweza kulipa kabisa , kama watakuwa na mipango madhubuti ...Zipo nchi zinalipa vizuri hata wastaafu wanalipwa bila ya kchangia mifuko
 
Hao wana siasa, wengi walikuwa watumishi, Waka jamp upande wa pili, na wewe nenda kawe mwanasiasa,JPM, alikuwa mwalimu, Majaliwa mwalimu, Mama Sita mwalimu, na kuna mqprofesa kibaooo,
Hawapo pale kushufhulikia jinsi yq kuboresha maisha ya wananchi, wapo pale ku "improve" Level ya maisha Yao tu period! Sheria inapitishwa, wao wakiwepo, wananchi wakilalamika, na wao wanakuja wanashqngaa wanananza kuilaumu serikali!
Huwa, naangalia picha za Yule mbunge Kijana,Sanga anazo post mitandaoni! Hutaona akipost akiwa may be kwenye mafunzo ya kilimo Cha mpunga Japan, au USA, au kwenye shamba darasa pale SuA, au akitoa elimu ya kilimo Bora jimboni kwake, zaidi an akipost akiwa kapiga bring bring, kaegemea ndinga ya pesa mbaya,au akiwa mitaani huko majuu! Anatonyesha jinsi alivyofanikiwa kwa pesa ya umma/posho!
Kwa ufupi angefanya kama Ali hapi, anavyopost picha akiwa shambani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…