Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuuza vitumbua Kuna mtu namfahan Kwa siku Faida anapata elfu 20 mpska 30
Jibu plus wosiasasa hili nijibu la swali au nini?
Jamaa hajalipia hati miliki!Kutoka Facebook Kwa dj tee
Huu mwaka huu, tutauza hadi sementi mbichi ili kujipatia kipato.Kuna hii watu Wana chemsha maharage, Kisha Wana yauza kwa kipimo.
Ila balaa lake ni baadae ukizeeka.Ufisadi.
Fuatilia mjadala wa wabunge kuhusu wizi wa pesa za uma hususan Sakata la Tegeta Escrow. Kama wayasemayo ni kweli basi ukiwa fisadi unatoboa fasta sana, maana mgao wa ile pesa ni kufuru kwa mujibu wa michango ya hoja za baadhi ya wabunge
Kuna mwehu mmoja muislamu ila anafuga mbuzi katoliki balaaa .... Noma sana ..... Afu maguruwe yake Sasa mikubwa balaaa....Ufugaji wa nguruwe
Kumpesha mbongo iyo si kujitakia kufirisika tuKukopesha nguo, hii ukiwa serious unatoboa kwa kiasi chake.
😀😀😀😀😀Kuuza karanga! Inspirational speakers wote wanasemq matajiri wote walianzia kuuza karanga hizi hizi kijiko sh. 100 😊😂😂
Acha tu ndugu yangu. Maana mishe zilizotajwa uko juu kuanzia kuuza vitumbua, maharage, fundi cherehani, bodaboda n.k wanaozifanya tunaishi nao mtaani hali zao tunazijua, hivi wangekua kweli wanapiga hizi figure zinazotajwa maendeleo yao si tungekua tunayaona.Huu mwaka huu, tutauza hadi sementi mbichi ili kujipatia kipato.
Wauza mikaa
Kila biashara inalipa ni vile utavyoifanya biashara yako improvement kiasi Fulani ili uweze kukopesheka mikopo na bank hakuna maendeleo yanayokuja bila kukopesheka na bankAcha tu ndugu yangu. Maana mishe zilizotajwa uko juu kuanzia kuuza vitumbua, maharage, fundi cherehani, bodaboda n.k wanaozifanya tunaishi nao mtaani hali zao tunazijua, hivi wangekua kweli wanapiga hizi figure zinazotajwa maendeleo yao si tungekua tunayaona.
Sikatai ndugu yangu tatizo ni namna zinavyoongelewa na motivesho spikazi, figures zinazotajwa haziendi na life la wana wanaopiga izo mishe.Kila biashara inalipa ni vile utavyoifanya biashara yako improvement kiasi Fulani ili uweze kukopesheka mikopo na bank hakuna maendeleo yanayokuja bila kukopesheka na bank
Fainali uzeeni sio! 😀Ila balaa lake ni baadae ukizeeka.
Yupo wapi huyo nimuendee na wavaa kobazi tukamtie mikwaju.Kuna mwehu mmoja muislamu ila anafuga mbuzi katoliki balaaa .... Noma sana ..... Afu maguruwe yake Sasa mikubwa balaaa....
Hawamuwezi ..walimzuia mpaka kuingia msikitini..siku hizi fresh tu ... Sengerema - Buchosa - NYEHUNGE .....Yupo wapi huyo nimuendee na wavaa kobazi tukamtie mikwaju.
Kukopesha watu pesa inakubidi na wewe uwe na mtaji wa kutosha ili uweze kuhudumia Kila wakati maana wakati mwingine wakopaji hawaji kulipa,huwo muda wa kuwafatilia unatumia gharama,inakubidi uwe vizuri.Biashara ya kukopesha watu pesa