Mishe gani ambayo inachukuliwa poa mtaani ila wanaoifanya wanapiga vibunda?

Kitu nimegundua ni kwamba hizi biashara za chini zinataka good management kuweza kuona tija yake na mahesabu mazuri. Shida zinafanywa na watu ambao hawajaenda shule na hawana business management skills. Na watu walioenda shule huwa wanaleta ufundi mwingi inakuwa ngumu kuzifanya matokeo yake hali inakuwa kama ilivyo sasa.
 
Umalaya..

Imagine goli moja la mbele ni 20k hapo bei elekezi.. la nyuma ni 50k.

Sasa Malaya akiliwa mara 3 ana hela nzuri tu..
Gharama anazoingia ni mafuta ya Aslay (Parachute/Ky), dawa za kuzuia mimba... na vi2 vingine vdg vdg

Vijana kaz kwenu
 
Sure mkuu ukiweza kuchanganya vizuri elimu ya kitaa na elimu ya darasani kutoboa easy tu
 
Hakunaga kutoboa fasta maisha.
hata uuze tako uwe shoga bado kutoboa ni process. Hta uwe punda ubebe poda bado kutoboa ni process waulize akina Ngwair na Masogange.
Hata uwe freemason au utumie ndumba, is still a process
Yes,mafanikio ni mchakato,huwezi toboa kwa miaka miwili au tatu lazima uwekeze,uwe na mipango dhabiti na ujitume kwa bidii
 
Sikatai ndugu yangu tatizo ni namna zinavyoongelewa na motivesho spikazi, figures zinazotajwa haziendi na life la wana wanaopiga izo mishe.
Ndio,tukiishi na mambo ya motivesheni huwezi fanya maendeleo coz kila kitu ukijaribu usipoona improvement unaachanayo,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…