Nina pesa we acha tu,๐๐ We una maendeleo gani
Mingapi ndo unashibaM
Makumbusho
Jumla ya gharama za kumlisha mishikaki kwaka mzima ipo kama ifuatavyo.Nina pesa we acha tu,
Naweza kukulisha mishkaki mwaka mzima
Hawezi shiba mmoja wa 200, piga hiyo 73000 mara 20 au 30Jumla ya gharama za kumlisha mishikaki kwaka mzima ipo kama ifuatavyo.
Week inasiku 7 = [200ร7=1,400]
Mwezi mmoja unasiku 31 au 30=
[200ร31=6,200]
Mwaka mmoja unasiku 365=
[200ร365=73,000]
Hivyo basi gharama kuu ya kumlisha huyo Jamaa mishikaki mwaka mzima ni 73,000 tuuuu.kwahiyo hizi pesa unazosema unazo na unaweza kumlisha mishikaki mwaka mzima ni pesa ya mboga tuu mkuu
Umekula Msamvu? Kama ni hapo hiyo ya kengeKuna hii mishikaki inauzwa Mida ya jioni 200 jamani ni mitamu sijui wanatiaga viungo gani nyie na ile pilipili yake ๐๐๐
Kuhusu suala la nyama me selewi ni nyama ya nini kuna watu wanasema ni ya mbwa mara paka jamani naomba tu kuwasilisha kama ni nyama ya viumbe hivi ni watamu kwa kweli ๐niambieni ivo viungo please.
Hahahaaa..... Watu mna vituko.Jumla ya gharama za kumlisha mishikaki kwaka mzima ipo kama ifuatavyo.
Week inasiku 7 = [200ร7=1,400]
Mwezi mmoja unasiku 31 au 30=
[200ร31=6,200]
Mwaka mmoja unasiku 365=
[200ร365=73,000]
Hivyo basi gharama kuu ya kumlisha huyo Jamaa mishikaki mwaka mzima ni 73,000 tuuuu.kwahiyo hizi pesa unazosema unazo na unaweza kumlisha mishikaki mwaka mzima ni pesa ya mboga tuu mkuu
Mh iyo mishikikaki nilikuwa na njaa sana siku hiyo nikawa natafuta cha kula nikaona mishakaki na ndizi posta hapo nikasema nikanunue nikauliza bei nikaambiwa 200Kuna hii mishikaki inauzwa Mida ya jioni 200 jamani ni mitamu sijui wanatiaga viungo gani nyie na ile pilipili yake ๐๐๐
Kuhusu suala la nyama me selewi ni nyama ya nini kuna watu wanasema ni ya mbwa mara paka jamani naomba tu kuwasilisha kama ni nyama ya viumbe hivi ni watamu kwa kweli ๐niambieni ivo viungo please.
Unavyoelezea jmn malonya lonya ndio nnMh iyo mishikikaki nilikuwa na njaa sana siku hiyo nikawa natafuta cha kula nikaona mishakaki na ndizi posta hapo nikasema nikanunue nikauliza bei nikaambiwa 200
Duh nikastuka nikaondoka haraka sana sijawai kula na siwezi kula kwaza ni uchafu tu ule nasikia ni malonya lonya yanayo baki ng'ombe akichinjwa