Mishikaki ya 200 mnatiaga nini jamani 😋wachoma mishikaki nipeni siri

Mishikaki ya 200 mnatiaga nini jamani 😋wachoma mishikaki nipeni siri

Nilijaribu kuonja nilitema haraka nyama gani laini kama mapafu asee
 
Kuna hii mishikaki inauzwa Mida ya jioni 200 jamani ni mitamu sijui wanatiaga viungo gani nyie na ile pilipili yake 😋😌😂

Kuhusu suala la nyama me selewi ni nyama ya nini kuna watu wanasema ni ya mbwa mara paka jamani naomba tu kuwasilisha kama ni nyama ya viumbe hivi ni watamu kwa kweli 👌niambieni ivo viungo please.

maxresdefault.jpg



Mshalishwa mbwa na Nyau
 
Jumla ya gharama za kumlisha mishikaki kwaka mzima ipo kama ifuatavyo.
Week inasiku 7 = [200×7=1,400]
Mwezi mmoja unasiku 31 au 30=
[200×31=6,200]
Mwaka mmoja unasiku 365=
[200×365=73,000]
Hivyo basi gharama kuu ya kumlisha huyo Jamaa mishikaki mwaka mzima ni 73,000 tuuuu.kwahiyo hizi pesa unazosema unazo na unaweza kumlisha mishikaki mwaka mzima ni pesa ya mboga tuu mkuu
Kwani kwa siku anakula mshikaki mmoja moja kama dawa?!
 
Jumla ya gharama za kumlisha mishikaki kwaka mzima ipo kama ifuatavyo.
Week inasiku 7 = [200×7=1,400]
Mwezi mmoja unasiku 31 au 30=
[200×31=6,200]
Mwaka mmoja unasiku 365=
[200×365=73,000]
Hivyo basi gharama kuu ya kumlisha huyo Jamaa mishikaki mwaka mzima ni 73,000 tuuuu.kwahiyo hizi pesa unazosema unazo na unaweza kumlisha mishikaki mwaka mzima ni pesa ya mboga tuu mkuu
Kuna shida kwenye hii hesabu 😁😁😁
 
Kuna hii mishikaki inauzwa Mida ya jioni 200 jamani ni mitamu sijui wanatiaga viungo gani nyie na ile pilipili yake 😋😌😂

Kuhusu suala la nyama me selewi ni nyama ya nini kuna watu wanasema ni ya mbwa mara paka jamani naomba tu kuwasilisha kama ni nyama ya viumbe hivi ni watamu kwa kweli 👌niambieni ivo viungo please.

maxresdefault.jpg

Maziwa ya mgando na soya sauce
 
Nyama ambazo wanatengeneza hizo mishikaki zinaitwa Salala, zinapatikana baada ya kuchuna ngozi ya ngo'ombe maana huwa zipo kwenye ngozi. Nyama yake ilivyo ni kama bapa hivi.Huwezi kuzipata Buchani lazima uende machinjioni.
Bei yake ni nafuu sio kama nyama ya kawaidia ndio maana hata mishikaki ya nyama hiyo ni nafuu.
Ukiacha hiyo mishikaki kwenye hivyo vijiwe unaweza kujipatia korodani za kuchoma za Ng'ombe, Nundu ya kuchoma ya Ng'ombe pamoja na Sabuufa ambayo ni mkusanyiko wa nyama nyingi zilizofungwa sehemu moja.
 
Jumla ya gharama za kumlisha mishikaki kwaka mzima ipo kama ifuatavyo.
Week inasiku 7 = [200×7=1,400]
Mwezi mmoja unasiku 31 au 30=
[200×31=6,200]
Mwaka mmoja unasiku 365=
[200×365=73,000]
Hivyo basi gharama kuu ya kumlisha huyo Jamaa mishikaki mwaka mzima ni 73,000 tuuuu.kwahiyo hizi pesa unazosema unazo na unaweza kumlisha mishikaki mwaka mzima ni pesa ya mboga tuu mkuu
We jamaa fala sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]asa ndio mpaka mahesabu duhhh
 
Mh iyo mishikikaki nilikuwa na njaa sana siku hiyo nikawa natafuta cha kula nikaona mishakaki na ndizi posta hapo nasikasema nikanunue nikauliza bei nikaambiwa 200
Duh nikastuka nikaondoka haraka sana sijawai kula na siwezi kula kwaza ni uchafu tu ule nasikia ni malonya lonya yanayo baki ng'ombe akichinjwa
Sasa malonye lonye yanashida gani!?Na utumbo je!?
 
Back
Top Bottom