Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mabaki ya nyamaUnavyoelezea jmn malonya lonya ndio nn
[emoji38][emoji38][emoji38]we kula tu.ipo siku utasikia mbwa anabweka tumboni
Na nnavyokujua wewe unaweza kupitiliza kumlisha mpka mwaka ujaoNina pesa we acha tu,
Naweza kukulisha mishkaki mwaka mzima
umejuaje mzee mi jobless tu😅Na nnavyokujua wewe unaweza kupitiliza kumlisha mpka mwaka ujao
Kuna hii mishikaki inauzwa Mida ya jioni 200 jamani ni mitamu sijui wanatiaga viungo gani nyie na ile pilipili yake 😋😌😂
Kuhusu suala la nyama me selewi ni nyama ya nini kuna watu wanasema ni ya mbwa mara paka jamani naomba tu kuwasilisha kama ni nyama ya viumbe hivi ni watamu kwa kweli 👌niambieni ivo viungo please.
![]()
Kwani kwa siku anakula mshikaki mmoja moja kama dawa?!Jumla ya gharama za kumlisha mishikaki kwaka mzima ipo kama ifuatavyo.
Week inasiku 7 = [200×7=1,400]
Mwezi mmoja unasiku 31 au 30=
[200×31=6,200]
Mwaka mmoja unasiku 365=
[200×365=73,000]
Hivyo basi gharama kuu ya kumlisha huyo Jamaa mishikaki mwaka mzima ni 73,000 tuuuu.kwahiyo hizi pesa unazosema unazo na unaweza kumlisha mishikaki mwaka mzima ni pesa ya mboga tuu mkuu
Kuna shida kwenye hii hesabu 😁😁😁Jumla ya gharama za kumlisha mishikaki kwaka mzima ipo kama ifuatavyo.
Week inasiku 7 = [200×7=1,400]
Mwezi mmoja unasiku 31 au 30=
[200×31=6,200]
Mwaka mmoja unasiku 365=
[200×365=73,000]
Hivyo basi gharama kuu ya kumlisha huyo Jamaa mishikaki mwaka mzima ni 73,000 tuuuu.kwahiyo hizi pesa unazosema unazo na unaweza kumlisha mishikaki mwaka mzima ni pesa ya mboga tuu mkuu
Maziwa ya mgando na soya sauceKuna hii mishikaki inauzwa Mida ya jioni 200 jamani ni mitamu sijui wanatiaga viungo gani nyie na ile pilipili yake 😋😌😂
Kuhusu suala la nyama me selewi ni nyama ya nini kuna watu wanasema ni ya mbwa mara paka jamani naomba tu kuwasilisha kama ni nyama ya viumbe hivi ni watamu kwa kweli 👌niambieni ivo viungo please.
![]()
We jamaa fala sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]asa ndio mpaka mahesabu duhhhJumla ya gharama za kumlisha mishikaki kwaka mzima ipo kama ifuatavyo.
Week inasiku 7 = [200×7=1,400]
Mwezi mmoja unasiku 31 au 30=
[200×31=6,200]
Mwaka mmoja unasiku 365=
[200×365=73,000]
Hivyo basi gharama kuu ya kumlisha huyo Jamaa mishikaki mwaka mzima ni 73,000 tuuuu.kwahiyo hizi pesa unazosema unazo na unaweza kumlisha mishikaki mwaka mzima ni pesa ya mboga tuu mkuu
Sasa malonye lonye yanashida gani!?Na utumbo je!?Mh iyo mishikikaki nilikuwa na njaa sana siku hiyo nikawa natafuta cha kula nikaona mishakaki na ndizi posta hapo nasikasema nikanunue nikauliza bei nikaambiwa 200
Duh nikastuka nikaondoka haraka sana sijawai kula na siwezi kula kwaza ni uchafu tu ule nasikia ni malonya lonya yanayo baki ng'ombe akichinjwa
Bora utumboSasa malonye lonye yanashida gani!?Na utumbo je!?
Vyote sawa tuu!Bora utumbo