Mishikaki ya 200 mnatiaga nini jamani 😋wachoma mishikaki nipeni siri

Mishikaki ya 200 mnatiaga nini jamani 😋wachoma mishikaki nipeni siri

Nyama ambazo wanatengeneza hizo mishikaki zinaitwa Salala, zinapatikana baada ya kuchuna ngozi ya ngo'ombe maana huwa zipo kwenye ngozi. Nyama yake ilivyo ni kama bapa hivi.Huwezi kuzipata Buchani lazima uende machinjioni.
Bei yake ni nafuu sio kama nyama ya kawaidia ndio maana hata mishikaki ya nyama hiyo ni nafuu.
Ukiacha hiyo mishikaki kwenye hivyo vijiwe unaweza kujipatia korodani za kuchoma za Ng'ombe, Nundu ya kuchoma ya Ng'ombe pamoja na Sabuufa ambayo ni mkusanyiko wa nyama nyingi zilizofungwa sehemu moja.
Aiss wewe kweli Mtoboa siri
 
Mishikaki ya maini nasikia ni ya kitimoto
 
Kuna hii mishikaki inauzwa Mida ya jioni 200 jamani ni mitamu sijui wanatiaga viungo gani nyie na ile pilipili yake 😋😌😂

Kuhusu suala la nyama me selewi ni nyama ya nini kuna watu wanasema ni ya mbwa mara paka jamani naomba tu kuwasilisha kama ni nyama ya viumbe hivi ni watamu kwa kweli 👌niambieni ivo viungo please.

maxresdefault.jpg

Akili yako inawaza kula mishkaki tu ya mbwa/paka! Utakuja ujenge hata kibanda cha miti kweli?
 
Back
Top Bottom