Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,256
- 16,317
Eeh mi nikiziona napenda harufu yake but kula sijawahi naziogopa.
Wakuu,huwa najiuliza kila siku,hii mishkaki [ya ng'ombe] inayo uzwa sh.100 maeneo mbalimbali ya dsm,wauzaji wanapata faida gani?
Maana ni vipande 5 vya nyama,tena vitam tu,
sasa kama kilo ya nyama ni sh.5000 hadi 6000,hawa wandugu wanafanya biashara ya aina gani?
Dogo, machinjioni Vingunguti kuna nyama inauzwa kwa mafuku hadi buku. Kwa hiyo usiwe na wasiwasi na hiyo nyama, ni nyama poa kabisa na salama kwa matumizi ya binadamu.Wakuu,huwa najiuliza kila siku,hii mishkaki [ya ng'ombe] inayo uzwa sh.100 maeneo mbalimbali ya dsm,wauzaji wanapata faida gani?
Maana ni vipande 5 vya nyama,tena vitam tu,
sasa kama kilo ya nyama ni sh.5000 hadi 6000,hawa wandugu wanafanya biashara ya aina gani?
Njoo hapa chini ya mbuyu nikupeleke
Umewahi kusikia yupi kapata madhara kwahizo nyama!? Acha kuponda kabiashara kawatu nao wanasaka tonge. Nasiyo ya paka au mbwa kama unavosema, wengi wao wanakuwa na oda toka machinjioni kwa bei so usiulize kwaswala la bei wanajua wao wauzaji amenunuaje na auzeje.Mungu wangu sio nyama ya ng'ombe ile wale wanauza nyama yeyote ile iwe mbwa paka nk, na kama ni nyama ya ng'ombe huwa ni kibudu au nyama zile ambazo ni reject, usile tena zina madhara
Ukamfukua ng'ombe mzima peke yako, ukamuosha peke yako, ukamchuna peke yako!Alikua na ukubwa wa kuku eeehUmenikumbusha mbali mtoa mada niliwahi wauzia watu mshikaki wa nyama ya paka na mbwa lakin nlkuwa nkitia vitunguu swaumu kwa sana ili isigundilike wateja wangu waliisifia sana na nlipata faida kubwa .kuna siku kuna ng'ombe alkuwa amekiwa infection na bacillus anthrax sjajua kama nimepatia jina alikuwa ng'ombe wa jirani basi bwana mfugo aliagiza afukiwe Mara moja kwani ni hatar kwa afya basi mi nlkuwa nayasikia Yale maelezo maana nyumba zetu zipo karbu basi baada ya kufikiwa yule ng'ombe usiku nlienda mfukua nkamuosha nikamkata vipande vizur nkamuweka kweny freezer la jamaa ambaye anatuchaj kwa kuweka nyama kwa siku maana mm skuwa na freezer nilitumia umakin wa hali ya juu ktk kui handle ile nyamaa maana anthrax sio poa kesho nkaanga vipande vikubwa nikawa nauza mia mshikaki watu wakaanza jazana wengi punde si punde baada ya watu kula wakaanza kuharisha na kuumwa matumbo wengine kutoka na damu puani ilinibid nikimbie na pesa nikachukua wakati nakimbia jamaa RFK wa yule nlioweka nyama kwake akapiga simu akidai yule jamaa anaumwa mbaya sababu aliniibia kdogo nyama yangu nikakata Sm sikujibu chochote nikatafuta roli la mizigo nikaongea na dereva nkadandia sjui lilikuwa linaelekea kijiji gani wakat huo mama mwenye nyumba ananipigia Sm kuna migambo IPO kweny nyumba hapa inakuulizia ..
Bora mm nikajua kwareChunga sana ndugu ulaji wa mishikaji,huku kwetu kuna mzee alikuwa anauza mishikaji kwa 50/= amefungwa,kumbe alikuwa anachinja mmbwwaa!!
Nyama ya dogi hiyo [emoji23]Wakuu,huwa najiuliza kila siku,hii mishkaki [ya ng'ombe] inayo uzwa sh.100 maeneo mbalimbali ya dsm,wauzaji wanapata faida gani?
Maana ni vipande 5 vya nyama,tena vitam tu,
sasa kama kilo ya nyama ni sh.5000 hadi 6000,hawa wandugu wanafanya biashara ya aina gani?
Jamaa hajui, kuna nyama za kuokoteza zile vipande vinavyonyofoka wakati wa kuchuna na kukata kata.Dogo, machinjioni Vingunguti kuna nyama inauzwa kwa mafuku hadi buku. Kwa hiyo usiwe na wasiwasi na hiyo nyama, ni nyama poa kabisa na salama kwa matumizi ya binadamu.
Swali zuri sana.Mbwa wao wanatoka wapi kila siku maana mishikaki hiyo ipo tu
Tena unajikuta unachovyea kamshikaki kako kwenye pilipili huku unaandaa mate uuuwih 😄aisee inawezekana nimeigongagonga sana ukiweka na ile pilipili yao ya kutengeneza ukirudi ni maji meengi"mmh
Hivi ichi kipaji cha utunzi wa soga huwa mnazaliwa nacho au mnasomea?Hiyo kitu chungana nayo sana hata huku mitaa ya kwetu kuna jamaa alikuwa na wateja kibaoo wa hiyo kitu, siku ya siku jamaa si ikaja gudulika alikuwa analisha watu nyama ya mbwa, na alipobanwa sana kwa nini anafanya kitendo hicho cha kulisha watu nyama isiyo faa, jamaa si akawageuzia kibao akawauliza ebu nambieni nani kati yenu hajawahi kula nyama hapa?,au nani kati yenu alishapata madhara kwa kula mishikaki hapa?
Nyie nyote kila siku mlikuwa mkinisifia kwa kuwauzia mishikaki yenye radha leo hii mmenigeuka kwa kuwa tu mmekuta ni ya mbwa! Mbwa ni jina tu, nyama ni ile ile sawa na ya swala, mbuzi nk. hata bata ukimchunguza sana huwezi mla.Mwisho wa siku jamaa alishauriwa aombe kibali aendelee na kazi.
Ni kweli wale jamaa hawanunui buchani..wanaenda machinjioni kabisa kule kuna kila aina ya nyama,mpaka za mafungu! Na ni nyama nzuri tu hazina shida..kumbuka mpaka ng'ombe anachinjwa bwana nyama/afya wanakua washajiridhisha..Dogo, machinjioni Vingunguti kuna nyama inauzwa kwa mafuku hadi buku. Kwa hiyo usiwe na wasiwasi na hiyo nyama, ni nyama poa kabisa na salama kwa matumizi ya binadamu.