ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
pombe za vibobo vya plastiki ni janga kwa taifa sasaPombe nyingi tunazokunywa vijana kwa kweli siyo salama, ndizo zinzoleta matatizo ya ini na figo kuhusu Pressure ndugu zangu tupatapo muda tufanye mazoezi hata ya kutembea tu mwili utoke jasho.
Acheni pombe mbovu(kali)Sisi wote binadamu Tubadilishane uzoefu mambo yafuatayo yanachukua watu zetu easy
1.ajali, za magari, mitambo, umeme, gas,moto.
2.pressure hio ndo zaidi
3.mahoma homa ya maini na figo yamekuwa mengi.
4.uwizi
5.ugomvi wa wivu wa kimapenzi.
Hivi PB mtu amifuata lishe kwa maelekezo ya Dr na kufanya mazoezi inaisha kabisa na kuacha dawa?Pombe nyingi tunazokunywa vijana kwa kweli siyo salama, ndizo zinzoleta matatizo ya ini na figo kuhusu Pressure ndugu zangu tupatapo muda tufanye mazoezi hata ya kutembea tu mwili utoke jasho.
Ongezea naSisi wote binadamu Tubadilishane uzoefu mambo yafuatayo yanachukua watu zetu easy
1.ajali, za magari, mitambo, umeme, gas,moto.
2.pressure hio ndo zaidi
3.mahoma homa ya maini na figo yamekuwa mengi.
4.uwizi
5.ugomvi wa wivu wa kimapenzi.
Huyu mwendazimu kanichekesha sana sana๐คฃ๐คฃ๐๐ป, sijui kawaza nini mpaka nyoka wa nyuma kagushi kakosa cha kumfanya๐๐คฃ๐คฃMaisha ya Watanzania wa leo kila mmoja ana shida zake,hajui ashike ipi aache ipi wengi wapo frustrated kama๐๐ฟ๐๐ฟ๐๐ฟ
View attachment 3041628