zink
JF-Expert Member
- Sep 18, 2021
- 1,208
- 2,352
Mtaa gani huo mkuu.Mtaani kwetu kila week misiba sio chini ya miwili, yaan haf inaogopesha, Lol
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtaa gani huo mkuu.Mtaani kwetu kila week misiba sio chini ya miwili, yaan haf inaogopesha, Lol
Hapo kwenye chips yai na konyagi kutamaliza watu.LIFESTYLE ya wabongo wengi....
1.Konyagi/kvant/smart(kisungura)nk.
2.Shisha
3.Bangi
3.Kusaga Gomba(miraa)
4.Chips yai
6.Nyama choma(mbuzi)
7.Ngono zembe
Ukimwi haujawahi kumuua mtu, hao wenye ukimwi huwa wanakufa kwa magonjwa yao mengine tu ila sio ukimwi sababu ukimei sio ugonjwa bali hali ya mwili kupungua kingaUKIMWI je?
Hapo kwenye chips yai na konyagi kutamaliza watu.
Vijana wanapiga konyagi wanapozea na chips yai
Wengi wanakufa na Ukimwi kimya kimya ila inasingiziwa pressure 😆UKIMWI je?
Chipsi yai kivipi mkuu? Nimuelimishe huyu mtoto hapaHiyo nambari4 imemuondoa mpwa wangu last month. So sad, that boy died too young with no child to brag for!
More info ...chips yai kivpHapo kwenye chips yai na konyagi kutamaliza watu.
Chips yai 😲 howHiyo nambari4 imemuondoa mpwa wangu last month. So sad, that boy died too young with no child to brag for!
Sahihi kabisaUkimwi haujawahi kumuua mtu, hao wenye ukimwi huwa wanakufa kwa magonjwa yao mengine tu ila sio ukimwi sababu ukimei sio ugonjwa bali hali ya mwili kupungua kinga
Sio vema kutaja mtaa wangu hapa, LolMtaa gani huo mkuu.
Why now na sio miezi kadhaa iliyopita ? Kwamba hayo hayakuwepo mwanzoni mwa mwaka au kabla haijashika hatamu? Najua ka Corona kalipita pita ila haka sio deadly na tumeshakazoea....Sisi wote binadamu Tubadilishane uzoefu mambo yafuatayo yanachukua watu zetu easy
1. Ajali, za magari, mitambo, umeme, gas,moto.
2. Pressure hio ndo zaidi
3. Mahoma homa ya maini na figo yamekuwa mengi.
4. Uwizi
5. Ugomvi wa wivu wa kimapenzi.
Mtaani kwetu kila week misiba sio chini ya miwili, yaan haf inaogopesha, Lol
Coca kwan ushahama sinza 😁😁Sio vema kutaja mtaa wangu hapa, Lol
[emoji23][emoji23][emoji23] niko Masaki siku hizi.Coca kwan ushahama sinza [emoji16][emoji16]