Of course something is cooking up. Wakristu wametambua kwamba wamezubaa sana hasa kwenye uongozi wa chini kuanzia nyumba kumi kumi hadi udiwani hasa sehemu za mijini. Matokeo yake ni kwamba hawashirikishwi kwenye maamuzi muhimu. Kwa mfano kuna malalamiko kwamba mabilioni ya JK yaligawiwa kwa upendeleo kwa vile wakristu hawako kwenye uongozi wa serikali za mitaa. Lengo la semina hizi ni kuwahamasisha wakristu wachangamkie uchaguzi wa 2010 la sivyo watajilaumu.
Kalagabaho wao wako kwenye Meremeta, Kiwira, Richmond n.k mabilioni ya JK ya nini tena! (joke)