Of course something is cooking up. Wakristu wametambua kwamba wamezubaa sana hasa kwenye uongozi wa chini kuanzia nyumba kumi kumi hadi udiwani hasa sehemu za mijini. Matokeo yake ni kwamba hawashirikishwi kwenye maamuzi muhimu. Kwa mfano kuna malalamiko kwamba mabilioni ya JK yaligawiwa kwa upendeleo kwa vile wakristu hawako kwenye uongozi wa serikali za mitaa. Lengo la semina hizi ni kuwahamasisha wakristu wachangamkie uchaguzi wa 2010 la sivyo watajilaumu.
Mmmh, I shut down my PC and turn on the TV !!Misikiti nayo iwafundishe waumini haki zao katika kupiga kura na si uhasama au kujitoa mhanga.
Ha ha ha ha ha kweli nimecheka kuna ukweli kidogo lakini wao walifikiri vyeo vya nyumba kumi ,madiwani ni za waislamuKalagabaho wao wako kwenye Meremeta, Kiwira, Richmond n.k mabilioni ya JK ya nini tena! (joke)
Yule Mzee Makwaia wa 'Je, Tutafika?' ya Ch10 hayumo kwenye jopo hilo? Jumanne hii aliu-bias sana mjadala wa kuhusu toleo la Maaskofu wa Katoliki kuhusiana na elimu ya wapiga kura. Nadhani baada ya kuundwa kwa jopo hilo, moja ya watu watakaoshtuka ni Mch. Anthon Lusekelo aka Mzee wa Upako, kwani aliungana sana siku ya mjadala kupinga mpango wa Maaskofu kwa hoja kwamba dini zisiwaongoze waumini, sasa akigundua kuwa na upande aliokuwa anaungana nao umeunda chombo kama kile kile walichokuwa wakikipinga pale Ch10, ndo atajua kwamba kumbe alikuwa anatumiwa bila kujijua !!!
So, which religion for which party?π
Waongo wakubwa.hii ndio point ambayo inawapa ccm ushindi, wanasema chama chao ni cha dini zote
na vyama viwili vinavyofatia ni vya dini za wakristu na waislamu
Nadhani utakuja kusema pia kwamba kazi ya kutoa huduma za afya na elimu ya sekondari na vyuo ni ya serikali tu!!...
a)Kazi ya kutoa elimu ya uraia siyo ya Kanisa wala msikti ni Tume ya uchaguzi (serikali)
Kiongozi according to whmo? kama ni kwa ajili ya makanisa then huo ni UDINI! (opportunitiscs)
a)Kazi ya kutoa elimu ya uraia siyo ya Kanisa wala msikti ni Tume ya uchaguzi (serikali)
b) Kanisa limepanga mkakati wa kumiliki uchaguzi tutegemee shida baadaye nchi imeshakos umoja naona hatari ya kubaguana imekaribia
c) tunahitaji kiongozi atakayeaminiwa na wakristo na waislamu wote (yaani atakayeaminiwa na watanzania wote bila kujali dini...otherwise
d) Conclusion: Walichofanya kanisa katoliki ni ubaguzi!, Walichofanya waislamu ni ubaguzi! (Wote hawafai)
Tusichague Mkatoliki wala muislamu inabidi tuchague (otodox) wale wanaosali jumamosi watakuwa afadhali.