George_Mbuligwe
Member
- Sep 17, 2016
- 72
- 22
Ugaidi wa kujitoa mhanga umekuwa janga kwa robo karne sasa. Shambuliz lakujitoa mhanga kwenye kambi ya U.S marine katika mji wa Beirut, ulimfanya raisi Ronald Rogan kuondoa jeshi lake la kulinda amani mjini Beirut.viongozi wa Palestina walitumia mashambulizi ya kujito mhanga ila kushinikiza makubaliano na Israel, na wapiganaji wa Iraq walitumia mabomu ya kujitoa mhanga kupinga utawala mpya wa kisiasa nchin mwao. Magaid wa Al-Qaeda walishambulia USS cole iliyoko Aden mnamo mwaka 2000, na 11 septemba 2001 kushambulia World Trading Center pamoja na Pentagon. Wakati baadhi ya wachambuzi wakiendelea kusema hakuna chembechembe za udini katika mashambulizi ya kujitoa mhanga, wakirejea kwa kikundi cha Sri Lanka, Tamil Tigers ambao sio waislamu, wanakua wanakosea. Waislamu wote wanaojitoa mhanga wanahalalisha matendo yao kupitia dini, na moja kwa moja kupitia dhana ya jihad.
Jihad ni nini haswa?
Ugaidi hujihalalishia ulipuaji wa kujito muhanga kupitia tafsiri ya jihad. Wakati wachambuzi wa kimagharibi wakisema jihad ni msingi wa mapambano ya nafsi (internal struggle), maandiko ya kiislamu yanahusisha jihad na vita ya kimwili (physical warfare). Mtaalam wa historia, Bernd Lewis katika kitabu chake cha Political Language of Islam amegundua kuwa '' idadi kubwa ya wanatheolojia, wanasheria na watu wa tamaduni walielewa jihad katika maana ya kijeshi''.
Falsafa ya sheria ya kiislamu imegawanya njia nne ambazo mwamini anaweza kupitia kutimiza wajibu wa jihad;
1) kwa kuamini ndani ya moyo
2) kwa kuhubiri na kuongoa kwa ulimi wake
3) kwa matendo mazuri kwa mikono yake
4) kwa kupambana na wasio amini au maadui kwa upanga.
Katika utendaji, njia tatu za mwanzo ni sehemu ya da'wa (matendo ya kimisionari), ila ni matendo ambayo utoa msaada (support) kwa jihad ya upanga (njia ya nne).
Wanatheolojia wa kiislamu wamekua wazi katika muunganiko wa jihad ya vurugu na ya amani katika kuueneza uislamu. Jihad ni kiini katika mtazamo wa waislamu kuhusu ulimwengu, wakiugawa mtazamo huo katika sehemu mbili; ''ldar al-islam'' (maskani ya uislamu) na ''dar al-harb'' (maskani ya vita) ambayo imehatimiwa kuwa chini ya utawala wa kiislamu. Jihad hutakatisha dar al-islam na pia ni zana ya kushusha na kutokomeza dar al-harb. Lakini katika mafundisho yake, dhima ya jihad iko wazi; kujenga utawala wa kiislam duniani na kulazimisha wasio waislamu kuukubali uislamu, au kukubali kukubaguliwa vinginevyo kutokomezwa kabisa. Uelewa kama huu ndio ulianzisha misingi mikuu ya itikadi za tawala mbalimbali zilizoongoza katika himaya za kiislamu kuanzia mwisho wa karne ya 7 mpaka zilipokuja kutokomezwa na himaya ya Mongol katika karne ya 13.
Ukilinganisha dhana ya martyrdom (ufia dini) upande mmoja katika uislamu na upande wa pili kwa ukristo, utaona ni kiasi gani falsafa ya sheria ya kiislamu ina shawishi zaidi katika jihadi ya vurugu. Katika uhalisia wa matendo, ndani ya uislamu, Martyr (mfia dini) ni yule anayekufa katika vita ya jihad. Mtu huyo siku ya hukumu anapewa nafasi maalumu paradiso. Katika ukristo mfia dini ni yule ambaye anavumilia mateso na kifo kuliko kuikana imani yake.
Nitaendelea.....
Jihad ni nini haswa?
Ugaidi hujihalalishia ulipuaji wa kujito muhanga kupitia tafsiri ya jihad. Wakati wachambuzi wa kimagharibi wakisema jihad ni msingi wa mapambano ya nafsi (internal struggle), maandiko ya kiislamu yanahusisha jihad na vita ya kimwili (physical warfare). Mtaalam wa historia, Bernd Lewis katika kitabu chake cha Political Language of Islam amegundua kuwa '' idadi kubwa ya wanatheolojia, wanasheria na watu wa tamaduni walielewa jihad katika maana ya kijeshi''.
Falsafa ya sheria ya kiislamu imegawanya njia nne ambazo mwamini anaweza kupitia kutimiza wajibu wa jihad;
1) kwa kuamini ndani ya moyo
2) kwa kuhubiri na kuongoa kwa ulimi wake
3) kwa matendo mazuri kwa mikono yake
4) kwa kupambana na wasio amini au maadui kwa upanga.
Katika utendaji, njia tatu za mwanzo ni sehemu ya da'wa (matendo ya kimisionari), ila ni matendo ambayo utoa msaada (support) kwa jihad ya upanga (njia ya nne).
Wanatheolojia wa kiislamu wamekua wazi katika muunganiko wa jihad ya vurugu na ya amani katika kuueneza uislamu. Jihad ni kiini katika mtazamo wa waislamu kuhusu ulimwengu, wakiugawa mtazamo huo katika sehemu mbili; ''ldar al-islam'' (maskani ya uislamu) na ''dar al-harb'' (maskani ya vita) ambayo imehatimiwa kuwa chini ya utawala wa kiislamu. Jihad hutakatisha dar al-islam na pia ni zana ya kushusha na kutokomeza dar al-harb. Lakini katika mafundisho yake, dhima ya jihad iko wazi; kujenga utawala wa kiislam duniani na kulazimisha wasio waislamu kuukubali uislamu, au kukubali kukubaguliwa vinginevyo kutokomezwa kabisa. Uelewa kama huu ndio ulianzisha misingi mikuu ya itikadi za tawala mbalimbali zilizoongoza katika himaya za kiislamu kuanzia mwisho wa karne ya 7 mpaka zilipokuja kutokomezwa na himaya ya Mongol katika karne ya 13.
Ukilinganisha dhana ya martyrdom (ufia dini) upande mmoja katika uislamu na upande wa pili kwa ukristo, utaona ni kiasi gani falsafa ya sheria ya kiislamu ina shawishi zaidi katika jihadi ya vurugu. Katika uhalisia wa matendo, ndani ya uislamu, Martyr (mfia dini) ni yule anayekufa katika vita ya jihad. Mtu huyo siku ya hukumu anapewa nafasi maalumu paradiso. Katika ukristo mfia dini ni yule ambaye anavumilia mateso na kifo kuliko kuikana imani yake.
Nitaendelea.....