Misingi, itikadi za dini na mabomu ya kujitoa mhanga

Misingi, itikadi za dini na mabomu ya kujitoa mhanga

Mimi sio" mwanaharakati wa kidini ",so sihitaji kusimamia" upande" wowote ule" but nime comment hapa kwa lengo la kukwambia kwamba", unapaswa ukae "chini" vyema "ujifunze kuhusu " democracy na propaganda zake" hayo makundi yote ya kigaidi uliyoyataja " Hakuna hata moja lenye mlengo wa kidini " kama" ambavyo "jamii inavyoaminishwa", hizo huwa ni propaganda tu" hata hao alqaeda ukifyatilia vyema waliifanya kazi ya kumsimika huyo kiongozi WA kidini madarakani"" kwa" kulipwa" donge" nono mnoooo na ulikuwa nimpango uliochagizwa na ISI" toka "Pakistan" inshort" hizi" dini zote huwa "zinatumiwa" kimaslahi na wanasiasa" ili" waweze kufanikisha" malengo "yao" hata hapa tz "hilo liliwahi" kufanyika' "na JK". alipokuwa anagombea", kwa awamu ya pili" aliibua hoja ya mahakama ya kadhi ili waislam waone kuwa anawajali ' kumbe" ilikuwa"" ni trick "ya kuwatumia "katika "sanduku "la" kupigia kura" na alifikia "hatua ''ya' kufanya hivyo "baada"" ya kuona" ameanza'" kupwaya kiushawishi kwa' viongozi" WA makanisa" IFIKE MAHALA TUJITAMBUE ", JAMANI"
Umeandika vizuri sana, ila nadhani ushawahi kusikia baadhi ya Waislamu wakilalamika kuwa wanadhurumiwa maslahi yao na kundi fulani lenye nguvu ya dhurma.
Nyanja ya Elimu imewahi kulalamikiwa sana na baadhi ya Waislamu, kuwa wanafelishwa kwa makusudi ili kuwadhoofisha kijamii.
Maeneo mengine ni kama, ajira, Afya, Sheria ( hapa wakadai mahakama ya Kadhi ighalimiwe na serikali ili ilinde maslahi yao) nk.
Baadhi ya makundi ya Kigaidi yamejibainisha wazi kuwa ni Jeshi la kutetea maslahi ya waislamu, hapa sio makundi yote ni baadhi kama Boko haram, na Al-Shabab.
Boko haram kwa mfano, maana yake ni, Utamaduni wa Kimagharibi ni Haramu, Utamaduni wa Kimagharibi unajumuisha Dini ya Kikristo ambayo nayo ni Haramu kwao wao.
Uhalali ni Utamadini wa Mashariki ya kati unaojumuisha Dini ya Kiislamu.
Hivyo asiye Muislamu kwa mtazamo wao ni mtu Haramu.
Ndio maana nikasema kuna baadhi ya makundi ya Kigaidi yameibuka ili kutetea Uislamu kwa hali na mali ili usimezwe na utamaduni wa Kimagharibi.
 
Mkuu unakumbuka shambulio la kigaidi pale Garissa nchini Kenya? Magaidi waliruhusu waislamu wakaondoka wao wakaanza kuua wakristo sasa tutofautisheje ugaidi na uislamu? Alafu waislamu hamuwezi kujenga hoja kumshawishi Mkiristo asilimu mpaka mtumie nguvu na pesa. Unaposema waislamu walionewa mpaka ikashuka haya yakujitetea au kulinda uislamu kwa panga je aya iyo ukomo wake lini? Nijibu kwa umakini.
Aya haina ukomo itaendelea kutumika hadi siku ya mwisho,ndio maana hata mtu muovu anapokuijia mfano jambazi amekuja usiku kutaka kukudhuru na kuchukua mali zako unaruhusiwa kupambana nae kadri unavyoweza.
Kumbuka kuwa dini imekuja kwa mapokeo kwa maana kuna utofauti wa uelewa baina ya watu wa dini moja,hata kwa wakristo kuna wasabato ambao wanatofautiana ktk baadhi ya mambo na wakatoliki,hivyohivyo kwa waislam tofauti hizo zipo,uelewa hauwezi kuwa wa aina moja baina ya watu.
Mtu au kikundi cha watu atakapofanya jambo baya kwa kisingizio cha dini usiinyooshee kidole dini,hapo anakuwa anatumia dini kama mgongo wa kuficha uovu wake.
 
Umeandika vizuri sana, ila nadhani ushawahi kusikia baadhi ya Waislamu wakilalamika kuwa wanadhurumiwa maslahi yao na kundi fulani lenye nguvu ya dhurma.
Nyanja ya Elimu imewahi kulalamikiwa sana na baadhi ya Waislamu, kuwa wanafelishwa kwa makusudi ili kuwadhoofisha kijamii.
Maeneo mengine ni kama, ajira, Afya, Sheria ( hapa wakadai mahakama ya Kadhi ighalimiwe na serikali ili ilinde maslahi yao) nk.
Baadhi ya makundi ya Kigaidi yamejibainisha wazi kuwa ni Jeshi la kutetea maslahi ya waislamu, hapa sio makundi yote ni baadhi kama Boko haram, na Al-Shabab.
Boko haram kwa mfano, maana yake ni, Utamaduni wa Kimagharibi ni Haramu, Utamaduni wa Kimagharibi unajumuisha Dini ya Kikristo ambayo nayo ni Haramu kwao wao.
Uhalali ni Utamadini wa Mashariki ya kati unaojumuisha Dini ya Kiislamu.
Hivyo asiye Muislamu kwa mtazamo wao ni mtu Haramu.
Ndio maana nikasema kuna baadhi ya makundi ya Kigaidi yameibuka ili kutetea Uislamu kwa hali na mali ili usimezwe na utamaduni wa Kimagharibi.
yaani ambacho nataka wewe ukielewe ni kwamba", wakubwa wenye huu ulimwengu" wanayatumia hayo mapungufu" ya hao wafia dini wanaolalamika kuwa wanaonewa na dini Fulani" ili waweze kusimika maslahi yao" wanajitangaza kuwa ni wakombozi wa hao wanaollamikA", wanaolalamik wanawaamini" na kuwa support " kumbe nyuma ya pazia wana malengo yao ya kuchimba madini" mafuta' ". so ill hayoyafnyike" nilazima" waidhohofishe" serikali iliyopo madarakani" n idondoshe wino" nakuingia nao mikataba" hivyo vikundi huwa vinatumiwa na mataifa makubwa yote " USA .RUSSIA" UFA, UINGEREZA"," etc .. but huwa vinajifanya kuitumikiA dini" kwakuwa " vinajua" kwamba sehemu kubwa ya jamii inakaliwa na watu ambao wanaimani za kidini" so wanAwachonganisha", umeshawahi kujiuliza " wanapata wapi pesa za " kujiendesha", " Kama kununua mafuta chakula na gharama za kununua silaha""
 
Pamoja na propaganda zote,kejeli,matusi dhidi ya uislam, bado uislam ndio dini inayokuwa kwa kasi zaidi duniani hasa America na Europe.
Kwa nusu ya kwanza ya mwaka 2018 jina *Muhammad* limeongoza ktk majina wanayopewa watoto wanaozaliwa ndani ya UK (uingereza).Limeyashinda majina kama Harry,Jackson na william.
 
Marekani na dunia kwa ujumla wamesha itengeneza hio taswira na fikra kwa watu hivyo ni sawa tuu ila haki na batili havichangamani...na uislam Dini iliyo ya haki huo uzushi hauwezi kuurudisha nyuma ndio maana saivi unaenea kwa Kasi Sana Europe na maeneo mbali ndio ujiulize kwanini?


Haina haja ya kujiuliza, kwani si kama Uislam unaenea duniani bali wakimbizi toka hizo nchi za waarab wanakwenda Ulaya na hiyo dini yao, wakifika huko baada ya muda wanajiua kwa kujitwika mabomu kisa wanakuwa wanamiss kunyanyasika huko kwao. Hawajalazimishwa kwenda kuishi ukimbizini Ulaya ila wanashikwa na hasira za kutaka kujiua tu. Jana Denmark mwanamke mwarab aliyevaa hijab ameshitakiwa kwa kuvaa hijab, wazungu hawaoni umuhimu wa kuvaa kininja na wanasema kama unataka kuvaa kininja rudi kwenu ulikokukimbia. Nchi zingine zinataka kuleta sheria kama hii pia, hawataki upuuzi huu uenee Ulaya. Uholanzi nayo ukivaa hijab unakamatwa. Safi sana hii,
 
Povu la nini mtoto wa kike?jibu hoja nchi zote zenye waislam machafuko yana mkono wa makafiri.


Unataka jibu gani zaidi ya hilo nililokupa? Nikuulize nini tatizo la Sudan Kusini, nani yuko nyuma yake? Syria na Iran nani anawasimamia? Usijipige vidole kwa hasira nipe jibu sahihi.
 
Pamoja na propaganda zote,kejeli,matusi dhidi ya uislam, bado uislam ndio dini inayokuwa kwa kasi zaidi duniani hasa America na Europe.
Kwa nusu ya kwanza ya mwaka 2018 jina *Muhammad* limeongoza ktk majina wanayopewa watoto wanaozaliwa ndani ya UK (uingereza).Limeyashinda majina kama Harry,Jackson na william.



Unaona sasa akili za kukopa zilivyo? Wale watoto wanaozaliwa Ulaya na kupewa jina la Mohammad si watoto wa kizungu bali ni watoto wa kikimbizi wa kiarab/waislam waliokimbilia Ulaya kuepuka vita vya kuuana wenyewe kwa wenyewe. Ni sawa tu na wewe ukimbilie Brazil ukazaa mtoto na mkeo mkamuita (Hasmoir), this doesn't mean kuwa dini yako imekuwa, huyo mtoto ni wako na ndivyo ilivyo Ulaya. Jiulize kwanini waarab wanapingwa Ulaya na hawatakiwi….sasa iweje Uislam uzidi kukuwa ikiwa waarab hawatakiwi na si Ulaya tu hata Marekani. Hivi nyie hizi data za kijinga mnazitoa wapi? Acheni kudanganyana jamani. Obama kabla ya kuachia madaraka, alipokea wakimbizi wa kiislam wengi sana toka hizo nchi tata za kiarab na Trump kaingia madarakani anawarudisha hawataki kuwaona Marekani, sasa huo Uislam umekuwa wapi?
 
Ukisikia Allah akbar sokoni we kimbia akuna kutafakari si dini si siasa we kimbiaaaaa[emoji23][emoji23]
Mtemi, Mbabe na Msema Hovyo DONALD F TRUMP alithibitisha kwa vitendo. Akiwa mkutanoni alisikia Mungu Mkubwa Mungu Mkubwa [Allah akbar Allah Akbar], akaanza kitete cha kutaka kukimbia.

Nakuunga Mkono. Kimbia ukiisikia usalimishe maisha yako
 
Kwa Al-Qauda ni kweli USA hapo mwanzo iliwafundisha hao wapiganaji ili kusaidia katika kuipiga Urusi na kuiondoa maeneo ya Afghanistan.
Baada ya USSR kuanguka makundi hayo yakawa kama yametelekezwa na USA kwani nia ya kuiondoa Urusi ilisha kamilika.
Baada ya kuona wana mafunzo ya kijeshi na wana Silaha Al-Qaida wakaamua kuipindua Serikali ya Afghanistan na kuingiza utawala wa Kiislam wa siasa kali na wakaanza kujieneza nje ya Afghanistan.
Lakini yako makundi mengi ya Kigaidi ambayo hayajaanzishwa na harakati za Wamarekani, kama Boko haram, Al-Shabab, Al- Nusra nk.

Enzi zile la Al kaida pale Afghanistan, opium ilikatazwa na wakafanikiwa kwa 90% , Ila Sasa imeshamiri kwa sana tu.
Al kaida hawakujitanua ile 9/11 ni inside job ili wapate kuanzisha Vita ila.....
 
Tatizo watu wanachagua pa kuamini na wanataka waelewe kama akili yao inavyojitaka ielewe. Hata ulete tani na tani za ushahidi kamwe hawatokuelewa. Kwa nini? Kwa sababu wameshajichagulia mahala pa kuamini na akili yao inataka ielewe kama inavyojitaka ielewe.

Uislam ni dini yenye misingi yake, nguzo zake na taratibu zake. Na kama unataka kuuhoji uislam basi uhoji kutokana na uislam wenyewe na wala si kwa kupitia muislam. Kwa sababu mfumo na anayeufuta mfumo ni njia moja ila wapita njia ni tofauti.

Uislam haujaimiza kujieneza kwa kutumia mapambano ya kumwaga damu au kwa njia yoyote ile ya vurugu. Kwa nini? Kwa sababu uislam wenyewe unasema " Laa ik' raha fii ddin" hakuna kulazimishana katika dini. Na hii ni aya katika suratul Baqarah. Nafahamu katika Qur'an zipo aya za vita. Swali la kujiuliza kwa nini zipo aya za vita. Ukitaka kulijua hili lazima urudi katika historia ya uislam kipindi cha Muhammad. Kwa nini? Kwa sababu Qur'an imeshuka kutokana na matukio na katika historia tunapata matukio husika.

Uislam haukuanzisha vita, isipokuwa wao walianzishiwa vita. Walinyimwa Uhuru wa kuabudu, walipokonywa Mali zao zote walizomiliki, walitengwa na jamii na wakawa wanauliwa kisa tu ni Muislam. Iliwalazimu mpaka kuhamia mji mwengine. Na licha ya hayo njiani wakawa wanawindwa kama wanyama na wakawa wanauliwa. Wakaanzisha makazi katika mji waliyoufikia nao ni Madinah. Wakafuatwa huko huko wakawa wanaendelea kufanyiwa dhulma. Na Maswahaba wakimuuliza mtume Muhammad s.a.w, mtume anawajibu kwa kuwaambia msiwadhuru waacheni lakini bado walikuwa ni wenye kuonewa. Na baada ya hapo ndipo zikashuka aya zinazoruhusu wapigane " wameruhusuwa kuzichapa wale wanaodhulumiwa; na mpambane nao mithili ya wao wanavyopambana na ninyi. Na wakaambiwa wasiwapige watoto, wanawake na wazee na wala wasiharibu vyanzo ambavyo vina manufaa kwa binadamu wote; Kwani Mungu hawapendi wanochupa mipaka".

Sasa fananisha wanayoyafanya Isis, al Qaeda, Boko haram na Alsha bbab. Tujiulize wanapigana kwa misingi ip?

Aya na hadithi za vita zimebaki ni ," Defensive " tu kama nchi zilivyojiwekea mipaka yake kwamba ukivuka tu mipaka yake basi umeingia kwenye vita na hiyo nchi, kadhalika na uislam vilevile. Sihofii watu kuja na tofauti na haya, kwa sababu wameshachagua mahala pa kuamini na akili yao inavyotaka ielewe kama inavyojitaka ielewe. Na hayo makundi yote ya kigaida yameondolewa na wanawazuoni wa kislam kwamba si waislam.
Kule Iraq na Syria ISIS tangu walipotangaza Caliphate wanaua watoto wazee wake mwa waume na ukiangalia video zao wanafanya yote hayo ili kujenga dola ya Kiislamu sasa kwa muktadha huo jibu ninalopata ni kwamba dini ni confusion tuu maana kila mtu anafanya lake na kujustify anayofanya kwa kutumia kitabu hichohicho!
 
Kule Iraq na Syria ISIS tangu walipotangaza Caliphate wanaua watoto wazee wake mwa waume na ukiangalia video zao wanafanya yote hayo ili kujenga dola ya Kiislamu sasa kwa muktadha huo jibu ninalopata ni kwamba dini ni confusion tuu maana kila mtu anafanya lake na kujustify anayofanya kwa kutumia kitabu hichohicho!
Hapana, "confusion " ni mtu kujitakia. Pengine labda unaweza ukajiuliza ni kwa nini nimekanusha hilo, Ni kwa sababu ya dibaji hii ndogo ifuatayo.

Uislam unarejelea, ni kama sheria. Kwa linalozungumzwa au kutendwa katika uislam ni lazima uoneshe rejelea yako kwa hayo. Qur'an, imeshuka ndani ya miaka 23, na kwa nini imekuwa hivyo? Ni kutokana na matukio, naam Qur'an imeshuka kutokana na matukio. Sura / aya ya aina yoyote katika Qur'an ni lazima uoneshe imeshukia wapi, kwa sababu zipi na mtume ameitafsiri vipi. ISIS kama wanadai ushahidi wao unatokana na aya/ sura katika Qur'an, Uislam na waislam watahoji; watuambie ni sura/ aya ipi, imeshukia wapi, na lazima uelezee sababu ya kushuka ni ipi na Mtume ameitafsiri vipi? Kuna aya za vita, kuna ahadithi zinazozungumzia vita lakini uislam na waislam watahoji tupeni rejelea na mantiki ya hizo aya/ahadith kama Mtume alivyokusudia. Na katika uislam hakuna rai maadam Mungu na Mtume wake wamesema hivi basi hakuna kupinga. Ukiwa kinyume na hilo umetoka moja kwa moja kwenye uislam.

Katika uislam vita imehalalishwa ila imehalalishwa kimisingi yake na kanuni zake. Mathalani muislam ameruhusiwa kupigania dini yake na kuipigania nchi yake ila uislam umeweka hali ya namna gani inayokupasa mpaka ufikie hiyo hatua. Moja ya misingi yake Imekataza usiue wanawake, watoto, wazee, usiharibu vyanzo ambavyo ni vyenye manufaa kwa binadamu na hakuna kumlazimisha mtu/watu katika dini. Kama kulazimisha angelazimisha Mungu mwenyewe watu wote wangekua dini moja.

Uislam, wasiokuwa waislam umewaweka katika makundi mawili. Wapo ambao wasiyokuwa waislam wenye ukarimu, upole na wenye kupenda amani na wenye kupenda haki. Hata wakiwa kinyume na hayo, maadam hawafanyi uadui juu yenu uislam unakutaka uishi nao kwa wema. Na kwa wale ambao wamejitolea nafsi zao na mali zao kupambana na uislam, basi uislam unakutaka mpambane nao mithili ya wao kama wanavyopambana nanyi na wala msichupe mipaka kwa yale wanayowafanyia.

Makundi ya kigaidi Dunia nzima hakuna hata moja linalofuata uislam na si wamba hawajui; wanajua na Mungu atawalipa kwa istihzai wanayoifanya. Usama mwenyewe alipokuwa gaidi mama yake alilia sana na kumwambia mwanae mambo anayoyafanya si sahihi.
 
Mimi napinga kuwa Uislam si dini bali ni 'terrorist group' linalotumiwa na shetani ila hawajijuwi tu. Shetani ana uwezo wa kudanganya watu kuwa jiueni na Mungu atawasaidia, ama jiueni mtakwenda mbinguni because you are killing yourselves for a cause. Hivi Mungu anaruhusu watu wauane tu jamani? Waislam kwa kweli inabidi wajiangalie upya tena kuanzia vituko vya Mohammad na makundi haya ya kipuuzi ya jihad ya sasa.
Mambo hayo hadi kwenye biblia yapo hayajaanza leo,ndiyo maana mie huwa naona kuna tofauti ya dini na imani tu.
 
Umeandika vizuri sana, ila nadhani ushawahi kusikia baadhi ya Waislamu wakilalamika kuwa wanadhurumiwa maslahi yao na kundi fulani lenye nguvu ya dhurma.
Nyanja ya Elimu imewahi kulalamikiwa sana na baadhi ya Waislamu, kuwa wanafelishwa kwa makusudi ili kuwadhoofisha kijamii.
Maeneo mengine ni kama, ajira, Afya, Sheria ( hapa wakadai mahakama ya Kadhi ighalimiwe na serikali ili ilinde maslahi yao) nk.
Baadhi ya makundi ya Kigaidi yamejibainisha wazi kuwa ni Jeshi la kutetea maslahi ya waislamu, hapa sio makundi yote ni baadhi kama Boko haram, na Al-Shabab.
Boko haram kwa mfano, maana yake ni, Utamaduni wa Kimagharibi ni Haramu, Utamaduni wa Kimagharibi unajumuisha Dini ya Kikristo ambayo nayo ni Haramu kwao wao.
Uhalali ni Utamadini wa Mashariki ya kati unaojumuisha Dini ya Kiislamu.
Hivyo asiye Muislamu kwa mtazamo wao ni mtu Haramu.
Ndio maana nikasema kuna baadhi ya makundi ya Kigaidi yameibuka ili kutetea Uislamu kwa hali na mali ili usimezwe na utamaduni wa Kimagharibi.
Kwahiyo wewe kwa kutumia akili yako unakubali kabisa haya makundi ya kigaidi ajenda yao ya kufanya ugaidi ni kutaka watu wawe waislamu?

Yani kwa mfano hao boko haram hufanya yale machafuko ili lengo wasio waislamu wawe waislamu?
 
Haina haja ya kujiuliza, kwani si kama Uislam unaenea duniani bali wakimbizi toka hizo nchi za waarab wanakwenda Ulaya na hiyo dini yao, wakifika huko baada ya muda wanajiua kwa kujitwika mabomu kisa wanakuwa wanamiss kunyanyasika huko kwao. Hawajalazimishwa kwenda kuishi ukimbizini Ulaya ila wanashikwa na hasira za kutaka kujiua tu. Jana Denmark mwanamke mwarab aliyevaa hijab ameshitakiwa kwa kuvaa hijab, wazungu hawaoni umuhimu wa kuvaa kininja na wanasema kama unataka kuvaa kininja rudi kwenu ulikokukimbia. Nchi zingine zinataka kuleta sheria kama hii pia, hawataki upuuzi huu uenee Ulaya. Uholanzi nayo ukivaa hijab unakamatwa. Safi sana hii,
Inaonesha imani zao za dini wazungu hazina athari kwenye maisha yao na tamaduni zao na ndiyo maana wanaendana nazo bila tabu yeyote,hivyo inaonekana uislamu ndio tishio la tamaduni zao wazungu walizozizoea.
 
Kwahiyo wewe kwa kutumia akili yako unakubali kabisa haya makundi ya kigaidi ajenda yao ya kufanya ugaidi ni kutaka watu wawe waislamu?

Yani kwa mfano hao boko haram hufanya yale machafuko ili lengo wasio waislamu wawe waislamu?
Unakumbuka wale watoto wa kike zaidi ya mia nne wa shule ya Sekondary ya Chibok huko Nigeria waliotekwa na Boko Haramu jambo la kwanza kabisa walifanyiwa nini ?
Wote walilazimishwa kusilimu na kuwa waislamu.
Na wakafundishwa kwanza Uislamu kwa bidii zote.
Jiulize kwanini Boko Haramu waliwafanyia hivyo.
Je wakifanikiwa kuitawala Nigeria na kama hawataingiliwa na Mataifa ya nje watu wa Nigeria wasio waislamu watapataje uhuru wa kuabudu chini ya utawala wao.
Sisi tusio waislamu tunajua kabisa malengo ya baadhi ya hayo makundi ya kigaidi ni kusaidia kueneza Uislamu kwa nguvu kama walivyo fanyiwa watoto wa Chibok au walivyo uliwa Wanafunzi wa Kikiristo wa Chuo cha Garissa Kenya na magaidi wa Alshababu baada ya kuwaondoa wanafunzi wa Kiislamu wote.
Sisi Wakristo usifikiri tumelala ni kwamba tunawaangalia kwa tahadhari zote na kama vikundi hivi vikiendelea kutudhurumu kwa kiasi cha kuvichoka tutaingia vitani mazima mazima na hapo ndipo dunia itakapo tikisika kwa kishindo kikuu.
Nadhani wewe unayajua haya matukio na matendo haya wanayofanya magaidi hutaki kuyaona kama ni dhulma dhidi ya Wakristo.
ISS wana wateka na kuwaua Wakristo kila kukicha kwa kuwachinja, ila kwakuwa ni Wakristo wewe unajifanya huoni hivyo vitendo vyao.
Nakuhakikishia Dawa yao bado inachamka.
Tumia vizuri Akili yako.
 
Unakumbuka wale watoto wa kike zaidi ya mia nne wa shule ya Sekondary ya Chibok huko Nigeria waliotekwa na Boko Haramu jambo la kwanza kabisa walifanyiwa nini ?
Wote walilazimishwa kusilimu na kuwa waislamu.
Na wakafundishwa kwanza Uislamu kwa bidii zote.
Jiulize kwanini Boko Haramu waliwafanyia hivyo.
Je wakifanikiwa kuitawala Nigeria na kama hawataingiliwa na Mataifa ya nje watu wa Nigeria wasio waislamu watapataje uhuru wa kuabudu chini ya utawala wao.
Sisi tusio waislamu tunajua kabisa malengo ya baadhi ya hayo makundi ya kigaidi ni kusaidia kueneza Uislamu kwa nguvu kama walivyo fanyiwa watoto wa Chibok au walivyo uliwa Wanafunzi wa Kikiristo wa Chuo cha Garissa Kenya na magaidi wa Alshababu baada ya kuwaondoa wanafunzi wa Kiislamu wote.
Sisi Wakristo usifikiri tumelala ni kwamba tunawaangalia kwa tahadhari zote na kama vikundi hivi vikiendelea kutudhurumu kwa kiasi cha kuvichoka tutaingia vitani mazima mazima na hapo ndipo dunia itakapo tikisika kwa kishindo kikuu.
Nadhani wewe unayajua haya matukio na matendo haya wanayofanya magaidi hutaki kuyaona kama ni dhulma dhidi ya Wakristo.
ISS wana wateka na kuwaua Wakristo kila kukicha kwa kuwachinja, ila kwakuwa ni Wakristo wewe unajifanya huoni hivyo vitendo vyao.
Nakuhakikishia Dawa yao bado inachamka.
Tumia vizuri Akili yako.
Mkuu basi utakuwa haujatumia akili sawa sawa bali unatumia hisia,madhara yanayo sababishwa na hayo makundi huyapata watu wote haijarishi ni muislamu au sio muislamu Ila wewe mkuu umeamua kuchagua kuzungumzia hayo matukio machache kwa sababu ya hisia ulizonazo.

Maana hakuna muislamu ambaye hujiona yupo salama mbele ya hayo makundi kisa tu yeye muislamu.
 
Mkuu basi utakuwa haujatumia akili sawa sawa bali unatumia hisia,madhara yanayo sababishwa na hayo makundi huyapata watu wote haijarishi ni muislamu au sio muislamu Ila wewe mkuu umeamua kuchagua kuzungumzia hayo matukio machache kwa sababu ya hisia ulizonazo.

Maana hakuna muislamu ambaye hujiona yupo salama mbele ya hayo makundi kisa tu yeye muislamu.
Yako matukio mengi sana mabaya ambayo hayo makundi yanawafanyia Wakristo.
Kule Afrika ya kati waliwaua Wakristo kwa makusudi kabisa mpaka baadhi ya Wakristo wakaunda kikundi chao cha Antibaraka ili kujilinda na dhulma dhidi yao, kikundi hicho kilifanya mauaji ya kutisha kwa lengo la kulipa kisasi. Matokeo yake nchi ikakosa Amani kwa kipindi kirefu.
Hayo makundi adui yao namba moja ni Wakristo, namba mbili ni watu wa imani nyingine, namba tatu ni Waislamu wasiowaunga mkono.
Ndio maana kila mahali yanapoanzishwa na kudumu ni pale penye makazi ya waislamu, maana baadhi yao wanashiriki kuyaanzisha na kuyafadhiri, na asilimia kubwa ya watu wa makundi hayo ni waislamu.
Ni lazima tuelezane ukweli kwa nia ya Kujenga jamii yenye Amani.
 
Back
Top Bottom