Misingi, itikadi za dini na mabomu ya kujitoa mhanga

Misingi, itikadi za dini na mabomu ya kujitoa mhanga

Utanijibu nini tena zaidi ya hapa? Ukweli ndiyo huu, rudia kusoma vitabu vya Haddith na Qur'an na vituko vya Mohammad kisha rudi kunikosoa.
Mkuu wewe umesoma vituko vya Muhammad tu? kasome biblia utakutana na vituko vya aibu,vituko havijaanza juzi.
 
ISIS sio waislam wale Bali wanatumia mwamvuli wa dini kutimiza malengo yao, Kama kweli wanapigania Uislam mbona pesa chakula na Silaha wanapewa na mmarekani, kwani Marekani Ni Taifa la kiislam!!? Wale Ni washenzi wauwaji wakubwa wanaotumia mgongo wa dini kutimiza malengo yao....
Hata wale mashoga na wasagaji wanaofunga ndoa zao makanisani tunajua wanatumia mwamvuli wa dini kutimiza mipango yao hiyo haifanyi wao kuwa sio wakristo,hivyo hata hao magaidi kuna waislamu pia japo wakifanyacho ni kinyume na mafunzo ya kiislamu.
 
hakuna hata kimoja ulichoandika chenye usahihi, kwanza kausome uislamu kisha uje kutoa uthibitisho wa ulichoandika, zaidi ni kuhemuka tu
Uthibitisho kautoa kwny hz aya za quran inayoitwa tukufu
2018-08-03 23.05.07.jpg
 
Anzisha uz wako uvilete vya kwny biblia tuvijadili hapa tunajadili vituko vya ugaid katka quran
Umekurukupa mkuu fuatilia vizuri huyo niliye maquote alikuwa anazungumzia vituko gani.

Halafu sina haja ya kuanzisha uzi ili kueleza Jihad ya kwenye biblia jinsi Mungu anavyotoa amri ya kuuliwa hadi watoto wadogo,maana najua nitajibiwa kuwa hilo ni agano la kale.
 
Nimesema baadhi ya makundi ya Kigaidi na sio yote.
Na hayo makundi tunaona matendo yao.
Kuua Wakristo na kuwaacha Waislamu.
1. Ref: kitendo cha Al-Shabab huku Kenya katika chuo cha Garissa. ISS kuteka Wakristo na kuwachinja ktk maeneo wanayotawala.
2. Ref: kitendo cha Boko Haram kuwasilimisha kwa lazima na kuwaingiza katika dini ya Kiislam, watoto wote waliowateka katika shule ya Chibock huko Nigeria.

Hayo makundi ya kigaidi ni lazima yaanzie kwenye jamii ya Kiislamu kwani waanzilishi wake kama akina Abdallah Shakeu na washirika wake walioanzisha kundi la Boko Haramu ni waislam pia.
Nikupe taarifa tu fupi wahanga wakubwa wa matukio ya kigaidi ni waislamu na sio wakristu, boko haramu wamelipua misikiti mingi, wameua waislamu wengi kuliko wakristu, alshababu halikadhalika, IS wanawachinja wamarekani kwasbabu zao na sio kwasababu wakristu, japo wapo wakristu wameuwawa kwasababu ya ukristu wao. Terrorism is a political game iliyoandaliwa kwa ustadi mkubwa, kupitia hiyo game inayokufanya uamini ulichokiandika hapo wao wanapata kile walichokilenga
 
Mkuu wewe umesoma vituko vya Muhammad tu? kasome biblia utakutana na vituko vya aibu,vituko havijaanza juzi.


Kwa akili yako, unaamini kweli Mohammad alikuwa nabii? Nabii wa miaka 52 anabaka katoto ka miaka 6 (Aisha). mtu mzima anakabaka katoto ka miaka 6 atakuwaje nabii? Use your brain dude. Wewe hapo ulipo unaweza fanya mapenzi na mtoto wa miaka 6?
 
Kwa akili yako, unaamini kweli Mohammad alikuwa nabii? Nabii wa miaka 52 anabaka katoto ka miaka 6 (Aisha). mtu mzima anakabaka katoto ka miaka 6 atakuwaje nabii? Use your brain dude. Wewe hapo ulipo unaweza fanya mapenzi na mtoto wa miaka 6?
Unaujua umri ambao watu walikuwa wakioana kibiblia? kama ubakaji umeanzia huko.
 
Maslahi mojawapo ni yale ya Marekani kumiliki uchumi wa mafuta ya Iraq

Ukweli kwamba Iraq haikuwa na silaha za maangamizi kama ilivyodaiwa na Marekani na washirika wake.

Marekani umejuta, kwani, hadi sasa Marekani imeshindwa kuthibitisha hizo silaha za maangamizi za Iraq, hivyo kuonekana na dunia kuwa iliipiga Irak kwa kuitungia sababu za uongo tu.

Pia kuanguka kwa utawala wa Saadam Hussein ambako kumesababishwa na hila za Marekani, ndio chanzo cha machafuko mengi huko mashariki ya kati, na ndiko kuliko ibua vikundi vya kigaidi kama Islamic State (ISS)
ambavyo vimeleta uhalibifu mkubwa wa jamii na mali zao.
Machafuko haya yanaleta madhara makubwa katika dunia, hasa eneo la mashariki ya kati na kusababisha jamii za huko kusambaratika na kuzaa wakimbizi wasio na njia za kujipatia mahitaji muhimu ya kibinadamu.
Hadi hii leo mapigano yanaendelea na njia za kuyadhibiti bado haijapatikana.

Marekani ndio chanzo.

Unafahamu maana ya kujuta? unaweza kuonesha ni lini au wapi Marekani ilijuta?

Yote hayo uliyoandika siyo ugaidi huo wa hali ya juu?
 
Si kwa miaka 6 au chini ya miaka 13.
Kigezo ambacho walikuwa wakikitumia ni balehe,ina maana binti au kijana anapofika anapo baleghe hapo ndio anatambulika kuwa amefika umri wa kuoa au kuolewa Hivyo kigezo hakikuwa umri gani bali ni kubaleh.
 
Kigezo ambacho walikuwa wakikitumia ni balehe,ina maana binti au kijana anapofika anapo baleghe hapo ndio anatambulika kuwa amefika umri wa kuoa au kuolewa Hivyo kigezo hakikuwa umri gani bali ni kubaleh.


Bado una matatizo ya akili. Sasa mtoto Aisha alikuwa na miaka 6 na Mtume Mohammed alikuwa na miaka 52 wakati anamuoa, unataka kuniambia Aisha alikuwa kabalehe at 6 years old? Mkuu hivi umesoma hata biology ujuwe mwanamke anaanza kukomaa na umri gani? Mohammed alimbaka Aisha hili halina ubishi na kubaka wanawake na wake za watu ilikuwa kazi yake Mohammed. Soma kitabu cha Hadith na uelewe, utamshangaa Mohammed. Naelewa kwa nini wayahudi walimuua.
 
Bado una matatizo ya akili. Sasa mtoto Aisha alikuwa na miaka 6 na Mtume Mohammed alikuwa na miaka 52 wakati anamuoa, unataka kuniambia Aisha alikuwa kabalehe at 6 years old? Mkuu hivi umesoma hata biology ujuwe mwanamke anaanza kukomaa na umri gani? Mohammed alimbaka Aisha hili halina ubishi na kubaka wanawake na wake za watu ilikuwa kazi yake Mohammed. Soma kitabu cha Hadith na uelewe, utamshangaa Mohammed. Naelewa kwa nini wayahudi walimuua.
Mkuu mbona una mchecheto? tunaenda taratibu. Aisha kaolewa akiwa na miaka 6 na kaja kushiriki tendo la ndoa akiwa na miaka 9.
 
Bado una matatizo ya akili. Sasa mtoto Aisha alikuwa na miaka 6 na Mtume Mohammed alikuwa na miaka 52 wakati anamuoa, unataka kuniambia Aisha alikuwa kabalehe at 6 years old? Mkuu hivi umesoma hata biology ujuwe mwanamke anaanza kukomaa na umri gani? Mohammed alimbaka Aisha hili halina ubishi na kubaka wanawake na wake za watu ilikuwa kazi yake Mohammed. Soma kitabu cha Hadith na uelewe, utamshangaa Mohammed. Naelewa kwa nini wayahudi walimuua.
Unashangaa mila hizo za miaka 1400 nyuma tena kwa ndoa ya halali hushangai papa jana kaongelea makasisi na mapadri wa kanisa katoliki wanaoharibu watoto wadogo kwa kulawitiana nao?
 
Back
Top Bottom