Misingi mikuu ya maadili ya viongozi wa umma

Misingi mikuu ya maadili ya viongozi wa umma

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
IMG_20210512_024942_171.jpg


MISINGI MIKUU YA MAADILI YA VIONGOZI WA UMMA

i) Kufanya kazi kwa uadilifu, uaminifu na kujali;
ii) Kujizuia na tamaa na kujiheshimu;
iii) Kujituma na kutekeleza majukumu kwa umahiri kufuatana na misingi ya kitaaluma;
iv) Kufanya kazi bila upendeleo;
v) Kutoa Tamko la Rasilimali na Madeni;
vi) Kuepuka Mgongano wa Maslahi
vii) Kuepuka kupokea zawadi, fadhila au Maslahi ya kiuchumi yaliyokatazwa;
viii) Kutotoa, Kutopokea au kuomba rushwa;

IMG_20210512_025250_149.jpg


ix) Kutotumia mali ya Umma kwa Maslahi binafsi;
x) Kuepuka matumizi mabaya ya madaraka;
xi) Matumizi sahihi ya taarifa za umma; na
xii) Uwajibikaji na kufanya maamuzi kwa kuzingatia Sheria, Kanuni na Taratibu.
 
Upvote 0
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom