Misingi mikuu ya maadili ya viongozi wa umma

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124


MISINGI MIKUU YA MAADILI YA VIONGOZI WA UMMA

i) Kufanya kazi kwa uadilifu, uaminifu na kujali;
ii) Kujizuia na tamaa na kujiheshimu;
iii) Kujituma na kutekeleza majukumu kwa umahiri kufuatana na misingi ya kitaaluma;
iv) Kufanya kazi bila upendeleo;
v) Kutoa Tamko la Rasilimali na Madeni;
vi) Kuepuka Mgongano wa Maslahi
vii) Kuepuka kupokea zawadi, fadhila au Maslahi ya kiuchumi yaliyokatazwa;
viii) Kutotoa, Kutopokea au kuomba rushwa;



ix) Kutotumia mali ya Umma kwa Maslahi binafsi;
x) Kuepuka matumizi mabaya ya madaraka;
xi) Matumizi sahihi ya taarifa za umma; na
xii) Uwajibikaji na kufanya maamuzi kwa kuzingatia Sheria, Kanuni na Taratibu.
 
Upvote 0
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…