Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
- Thread starter
- #21
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutafanya kazi kweli muda huu?Ngoja nisogee sehemu niulize kama kuna upolo-wali ndondo mkuu.😂😂😂😂
Mi tayari niko kwenye Easter 🐣 vibe... sitaki kujitingisha wala kutingishikaTutafanya kazi kweli muda huu?Ngoja nisogee sehemu niulize kama kuna upolo-wali ndondo mkuu.😂😂😂😂
Kuna mtoto wangu nikimuonesha hiyo kitu huwa anasema ni vyakula vya Mr.Bean.😂😂😂😂
Hadi tufike "siku ya kwanza ya juma" utakuwa umenenepa sana tumbo unacheza na tooth-pick tu.Mi tayari niko kwenye Easter 🐣 vibe... sitaki kujitingisha wala kutingishika
Hahah hahah mama yangu aligoma kula.... alisema yayaaa natolyagha mashinhu gene ayoKuna mtoto wangu nikimuonesha hiyo kitu huwa anasema ni vyakula vya Mr.Bean.😂😂😂😂
Hahah haha najiandaa kufuturu mapemaaaLeo Bujibuji Simba Nyanaume kaamka na njaa
Hiii...haya maamii,lyaga duu!Mboga ina mikasi!😂😂😂Hahah hahah mama yangu aligoma kula.... alisema yayaaa natolyagha mashinhu gene ayo
Hadi nguvu za kulima shambani!😂😂😂View attachment 2183439
Chai ya majani ya mastafeli yanasaidia sana kupambana na kansa
Leo umeamua kutukomesha sana.Hadi naiona Kirumba Valley kwa mbali.
Na kwenye shamba la kuvuna watotoHadi nguvu za kulima shambani!😂😂😂