Sio kiti kweli huyu?
Tunefunga jamani unaniharibia swaumu yangu
Huyu samaki huo mdomo, anaonekana alikua mkuda huko mtaani kwao majini kabda hajavuliwa.
Dah kwa msos uwo ndy maana unatumbo kubwa anko
Bado, nitachanganya kisyesye, kifughe, kipome, ingati, na mbalagha kisha baada ya hapo nitaenda mtoni kufuata mangubwisya.Dah kwa msos uwo ndy maana unatumbo kubwa anko