Zeus1
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 7,152
- 9,206
Napenda sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Napenda sana
Wa kienyeji huyu,dah hatari kabisa.
We Mavyakula Yako Mabaya [emoji57]
Mimi ni wa dini ile inayoanganza usikuKha! Wewe sina kuna sehemu niliona unamshabikia Putin nikajua wewe wa dini ile maana wote wa hiyo dini wamefungashwa kwenye furushi moja huwaambii kitu dhidi ya Putin kwa sasa, wanamuabudu kabisa.... Bwana Utam
Tule tu Yesu kisha maliza kazi pale msalabaniDaa,afu njaa inauma
Enna kalumbuTule tu Yesu kisha maliza kazi pale msalabani
Mlo maridhawa sana huu, naona kuna lettuce salad, uyoga na veggies nyingine
Naloli, mweee tulyeghe pa kisu apa paka pamyituEnna kalumbu
Tukufwa jubha ghwanguNaloli, mweee tulyeghe pa kisu apa paka pamyitu
Vipunguze tu mzee, raha jipe mwenyeweHuwa sipendagi vitunguu vikikatwa vikubwakubwa kiasi hichi
NaloliTukufwa jubha ghwangu
Mkuu tufafanulie, huo ugali unapikwa na unga wa mkaa au kitu gani?View attachment 2189299
Msosi wa Kizaramo, je unajua huu ugali unaitwaje? Unapikwa na nini?
Duh mzaramo halisi atuelezee pishi laoMkuu tufafanulie, huo ugali unapikwa na unga wa mkaa au kitu gani?
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Hapana aiseee
Jamani,hao si ni wadudu?