Misosi ya nguvu

Misosi ya nguvu

1650139766163.jpg


Mshana Jr hii kitu inakuhusu aiseee. Pasaka njema
 
hakuna usemi mkubwa uliowahi kutolewa na mtanzania zaidi ya ule wa Kikwete "Akili za kuambiwa changanya na za kwako"

Hivi kweli mimi unikataze kula chakula flani kisa ugomvi sijui mikataba ya akina flani wa kusadikika, kweli?

mkuu Bujibuji Simba Nyamaume naskia wahindi hawaruhusiwi kula nyama ya ng'ombe, ni kweli?
Wadosi hawali ng'ombe lakini pia hata ng'ombe hali watu
 
Back
Top Bottom