MISRI: Al Masry 0 - 0 Simba SC! Simba ametolewa katika Michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika

Simba haiwezi kufurukuta kwa hao jamaa mpira ulishaonekana toka hapa bongo!

KICHWA CHA MWENDAWAZIMU-hii inatokana na kukosa ligi bora,ligi yetu kwa miaka 70 sasa ni Simba na Yanga no more!
 
Huu undava undava wasije wakawashambulia simba
 
Simba tupeni raaha kipindi cha pili...almasry yaani washaelekea kibla!
 
waarabu wetu hawa! kuku wako huna haja ya manati unamsubiri jion bandani
 
Ila simba wamepaki basi kweli kweli, kipindi cha pili wakie delea hivi wanafungwa!
 
Tukiwakosa kwao tutakuja wafunga kwetu taifa[emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Goooooooooooooooo simba inampiga mwarabu![emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…