GUSA ACHIA BAHASHA GOLI
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 5,110
- 7,349
Vipi rafah yuko IDF imepigaje pale ?Unacheka kama unatoka kupewa baraka kijana
Hamas kamatieni hapo hapo mpaka magaidi waondoke ukanda wa ghaza kinguvu yaaani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi rafah yuko IDF imepigaje pale ?Unacheka kama unatoka kupewa baraka kijana
Hamas kamatieni hapo hapo mpaka magaidi waondoke ukanda wa ghaza kinguvu yaaani
Hujui hii vita ilianza lini na nani alianzisha, msiwe wepesi kuamini wamagharibiTulia hivyo hivyo! Si walianzisha uchokozi Kwa kuua, kubaka na kuteka raia wasio na hatia.??!
Kwahio kwenu kupendana ni kule kuambiwa mukabarikiwe?
DelusionsKweli hao ni mashetani yaliyolaaniwa, hayana utu wala huruma, ni makatili kuwahi kutokea, kufa haliyakua ni myahudi/kaafir ni hasara sana
Allah atujaalie mwisho mwema!
Makafiri wengi hawajitambui tena imefikia stage wameshindwa kuzizuia chuki zao dhidi ya uislamu na waislamuHawa watu wa ajabu sana, wanawachukia waarabu, wanaupiga vita Uisilamu.
Hata kwenye afcon wengi wao wanaonyesha wazi ubaguzi, kuwachukia waarabu na kutaka waondolewe kwenye mashindano ili zibaki timu za weusi, hawa walipaswa wakaungane na makafiri wa kizayuni and then Hamas wafanye yao.
Kabisa, wana roho za ajabu sijapata kuona, yani hawa acha wajichanganye tu wakawasaidie wenzao mayahudi, watakula vichwa mpaka basi, halafu waanze kulialia ndugu zetu wameuawa na magaidi 😁Makafiri wengi hawajitambui tena imefikia stage wameshindwa kuzizuia chuki zao dhidi ya uislamu na waislamu
Hata wakilia hawatakua nala kufanya magaidi dawa yao kuliwa vichwa tuKabisa, wana roho za ajabu sijapata kuona, yani hawa acha wajichanganye tu wakawasaidie wenzao mayahudi, watakula vichwa mpaka basi, halafu waanze kulialia ndugu zetu wameuawa na magaidi 😁
Hata wakilia hawatakua nala kufanya magaidi dawa yao kuliwa vichwa tu
Kwa taarifa yako mwarabu anamuona mtu mweusi kama mtumwa tu.Hawa watu wa ajabu sana, wanawachukia waarabu, wanaupiga vita Uisilamu.
Hata kwenye afcon wengi wao wanaonyesha wazi ubaguzi, kuwachukia waarabu na kutaka waondolewe kwenye mashindano ili zibaki timu za weusi, hawa walipaswa wakaungane na makafiri wa kizayuni and then Hamas wafanye yao.
Hakuna kenge yeyote anayeweza kuwasimamisha wayahudi nasema hakunaHapo Rafah ndio ngome ya mwisho ya HAMAS, ila penyewe pamejaa wananchi wengi hivyo kupapiga lazima Wapalesina watakufa sana, Misri imesema HAMAS waharakishe hili la dili ya mateka kabla hapajapigwa maana Israel wakianza, kawaida tumeona huwa hawasimamishwi na yeyote....
Egypt tells Hamas it has two weeks to reach hostage deal before IDF moves into Rafah – WSJ
By LAZAR BERMAN
Egypt warned Hamas that it must reach a hostage-for-ceasefire deal with Israel within 2 weeks, or Israel will move into Rafah, The Wall Street Journal reports.
Cairo is hosting talks on a deal beginning on Tuesday, which Israel, the US, and Qatar will attend.
Ilianza Oct 7 pale hamas walipofanya shambulizi la kigaidi na kuuwa raia Zaidi ya 1400Hujui hii vita ilianza lini na nani alianzisha, msiwe wepesi kuamini wamagharibi
HAmas le super power😂😂Mbona nasikia Israeli wanapokea kichapo cha mwizi.
Mbona mapigano Gaza yapo kila sehemu, hata zile ambazo Israel anatangaza amemaliza , Hamas wameendelea kutuma salamuHapo Rafah ndio ngome ya mwisho ya HAMAS, ila penyewe pamejaa wananchi wengi hivyo kupapiga lazima Wapalesina watakufa sana, Misri imesema HAMAS waharakishe hili la dili ya mateka kabla hapajapigwa maana Israel wakianza, kawaida tumeona huwa hawasimamishwi na yeyote....
Egypt tells Hamas it has two weeks to reach hostage deal before IDF moves into Rafah – WSJ
By LAZAR BERMAN
Egypt warned Hamas that it must reach a hostage-for-ceasefire deal with Israel within 2 weeks, or Israel will move into Rafah, The Wall Street Journal reports.
Cairo is hosting talks on a deal beginning on Tuesday, which Israel, the US, and Qatar will attend.
Waisrael wamejiua wenyewe kwa wingi, ni sawa na kule Gaza jeshi la anga limeua sana wanajeshi wake kwasababu ya mawasiliano mabovuH
Ilianza Oct 7 pale hamas walipofanya shambulizi la kigaidi na kuuwa raia Zaidi ya 1400
Kwa hiyo Waisraeli walijishambulia wenyewe sio?!Waisrael wamejiua wenyewe kwa wingi, ni sawa na kule Gaza jeshi la anga limeua sana wanajeshi wake kwasababu ya mawasiliano mabovu
Nguvu gani nyingine ndugu katika imaan? 😁Hamas kamatieni hapo hapo mpaka magaidi waondoke ukanda wa ghaza kinguvu yaaani
Hamas wameua ila wengine wameuliwa na waisrael wenyewe tarehe 7, na hata kule GazaKwa hiyo Waisraeli walijishambulia wenyewe sio?!
Mbona basi tuliona video za hamas wakiimba allah akbar huku wakifanya ukatili
Kwanini unashindwa kuelewa!H
Ilianza Oct 7 pale hamas walipofanya shambulizi la kigaidi na kuuwa raia Zaidi ya 1400
Kwa taarifa yako mwarabu anamuona mtu mweusi kama mtumwa tu.