Misri (Egypt) most powerful country in Africa Tanzania we are 17

Misri (Egypt) most powerful country in Africa Tanzania we are 17

Kama walivyosema wadau wengi, hizo ranking ni mbinu Za kuuza bidhaa zao na vifaa vya kijeshi. Kwani ukiwekwa wa kwanza au mwisho Kuna faida gani?
 
Mbona mwaka jana tulinunua magar yakivita na tukayatawanya kila kituo kuzuia nguvu ya Edo.
 
Eti Uganda wametupita? Na zambia na zimbabwe? Congo vikundi vya waasi tu vinawazingua, duuu ila hizi ranking

Kuna vigezo vingi vinavyoangaliwa, huku bajeti (bajeti ya jeshi) ikichukua nafasi muhimu
 
Duu, nilidhani Tanzania iko vizuri sana
 
Eti Uganda wametupita? Na zambia na zimbabwe? Congo vikundi vya waasi tu vinawazingua, duuu ila hizi ranking
Wenzetu wanapigana kila kukicha ndo maana kuna reference ktk ranking..Sisi hata hivyo vikundi vya waasi hatujavijaribu...!!.. Hili nalo halihitaji Propaganda babu, Tuache mambo ya kujisifu wenyewe
 
Egypt is the most powerful country in Africa according to the index that measures a government’s military strength.

Out of 30 African countries, the GFP said Egypt also ranked 12th out of 126 countries in the world.

Egypt has the manpower, equipment which covers the air, land, naval power and the petroleum to sustain its army among other factors.

Second in line is Algeria, followed by Ethiopia, Nigeria and South Africa.

Below is the full list:
1. Egypt

egyptian.jpg

Egyptian army

2. Algeria

algeria.jpg

Algerian army

3. Ethiopia

Ethiopia.jpg

Ethiopian army

4. Nigeria

nigeria1-1024x685.jpg

Nigerian army

5. South Africa

South-Africa.jpg

South African army

6. Angola

7.Morocco
8.Sudan

9.Libya

10.Democratic Republic of the Congo

11.Kenya

12.Tunisia

13.Zimbabwe

14.Zambia

15.Chad

16.Uganda

17.Tanzania

18.South Sudan

19.Ghana

20.Cameroon

21.Mozambique

22.Niger

23.Ivory Coast

24.Mali

25.Madagascar


26.Gabon

27.Republic of the Congo

28.Namibia

29.Somalia

30.Central African Republic

The annual GFP index boasts of using an algorithm that attempts to provide a fair canvas that presents an unbiased ranking and realistic outlook on the conventional military firepower and strength of countries. Their system focuses on the diversity of weapons systems and provides bonuses and penalties for things like nuclear arms, diversity of force structures, and alliances (like NATO). The formula is interesting because it makes a smaller but more technologically advanced country competitive with larger militaries from less advanced countries.

The most powerful military in the world is the United States, followed by Russia, China, India and the UK. US has been the world’s strongest military since 1945.

Source: CCTV-Africa
fafanua namba 10 na namba 27 sijajua tofauti
 
Huu upuuzi bado mnauamini, mfano mwaka jana Tanzania ilikuwa ya 24, leo ghafla imepanda 17, kuzipita Ghana n.k,
Vigezo wanavyotumia ni idadi ya silaha, idadi ya wapiganaji (active personnel), n.k swali rahisi tu je, neshi la Congo linaweledi kiasi gani mpaka kupewa chapuo vile kama tunavyoshuhudia kwao, pia ni moja ya majeshi yasiyo na nidhamu ndio maana uasi ni mwingi sana.

Kuwa na silaha nyingi bila weledi wa maaskari ni sawa na bure, mfano Kenya wana silaha nyingi sana kwa mjibu wa hizo ranking of military lakini mafanikio yao yako wapi? Pia Nigeria
 
fafanua namba 10 na namba 27 sijajua tofauti
Namba 10 ni jamhuri ya kidemokrasi ya Kongo (DRC) au Kongo kinshasa chini ya Joseph kabila na namba 27 ni Kongo Brazzaville ambayo rais wake ni Don sasu ngwaso. Ni nchi mbili tofauti ila zimepakana. Miji yao mkuu yaani kinshasa na Brazzaville imetenganishwa na mto Kongo.
 
Egypt is the most powerful country in Africa according to the index that measures a government’s military strength.

Out of 30 African countries, the GFP said Egypt also ranked 12th out of 126 countries in the world.

Egypt has the manpower, equipment which covers the air, land, naval power and the petroleum to sustain its army among other factors.

Second in line is Algeria, followed by Ethiopia, Nigeria and South Africa.

Below is the full list:
1. Egypt

egyptian.jpg

Egyptian army

2. Algeria

algeria.jpg

Algerian army

3. Ethiopia

Ethiopia.jpg

Ethiopian army

4. Nigeria

nigeria1-1024x685.jpg

Nigerian army

5. South Africa

South-Africa.jpg

South African army

6. Angola

7.Morocco
8.Sudan

9.Libya

10.Democratic Republic of the Congo

11.Kenya

12.Tunisia

13.Zimbabwe

14.Zambia

15.Chad

16.Uganda

17.Tanzania

18.South Sudan

19.Ghana

20.Cameroon

21.Mozambique

22.Niger

23.Ivory Coast

24.Mali

25.Madagascar


26.Gabon

27.Republic of the Congo

28.Namibia

29.Somalia

30.Central African Republic

The annual GFP index boasts of using an algorithm that attempts to provide a fair canvas that presents an unbiased ranking and realistic outlook on the conventional military firepower and strength of countries. Their system focuses on the diversity of weapons systems and provides bonuses and penalties for things like nuclear arms, diversity of force structures, and alliances (like NATO). The formula is interesting because it makes a smaller but more technologically advanced country competitive with larger militaries from less advanced countries.

The most powerful military in the world is the United States, followed by Russia, China, India and the UK. US has been the world’s strongest military since 1945.

Source: CCTV-Africa
Sipendi silaha wala vita....Baada ya Vita....
Hakuna mshindi....bali nani kapona....
.....Na mwisho wa siku hata waliobaki watakufa tu...muda ukifika.....
 
Zambia,Zimbabwe,Uganda na Kenya?ni upuuzi kufikiria kirahisi kwenye karne hii
 
Mungu ibariki Tanzania,Mungu libariki jeshi letu tukufu Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania
 
Huu ni uongo, kwa vigezo gani hadi s. Sudan kuwa na rank nzuri hivi!
 
Egypt is the most powerful country in Africa according to the index that measures a government’s military strength.

Out of 30 African countries, the GFP said Egypt also ranked 12th out of 126 countries in the world.

Egypt has the manpower, equipment which covers the air, land, naval power and the petroleum to sustain its army among other factors.

Second in line is Algeria, followed by Ethiopia, Nigeria and South Africa.

Below is the full list:
1. Egypt

egyptian.jpg

Egyptian army

2. Algeria

algeria.jpg

Algerian army

3. Ethiopia

Ethiopia.jpg

Ethiopian army

4. Nigeria

nigeria1-1024x685.jpg

Nigerian army

5. South Africa

South-Africa.jpg

South African army

6. Angola

7.Morocco
8.Sudan

9.Libya

10.Democratic Republic of the Congo

11.Kenya

12.Tunisia

13.Zimbabwe

14.Zambia

15.Chad

16.Uganda

17.Tanzania

18.South Sudan

19.Ghana

20.Cameroon

21.Mozambique

22.Niger

23.Ivory Coast

24.Mali

25.Madagascar


26.Gabon

27.Republic of the Congo

28.Namibia

29.Somalia

30.Central African Republic

The annual GFP index boasts of using an algorithm that attempts to provide a fair canvas that presents an unbiased ranking and realistic outlook on the conventional military firepower and strength of countries. Their system focuses on the diversity of weapons systems and provides bonuses and penalties for things like nuclear arms, diversity of force structures, and alliances (like NATO). The formula is interesting because it makes a smaller but more technologically advanced country competitive with larger militaries from less advanced countries.

The most powerful military in the world is the United States, followed by Russia, China, India and the UK. US has been the world’s strongest military since 1945.

Source: CCTV-Africa
[/FON
Ni kweli tumepitwa na Kongo
1. Wapo vitani kwa muda mrefu
2. Nchi za magharibi wana mkono kwenye jeshi lao kutokana madini
Ni kweli Kongo iko mbeli kijeshi kuliko Tanzania
 
Uongo mtupu,wanaosemwa kutupita ndio huomba msaada kwetu,misri ndio wanatupita but the rest wapo nyuma yetu
 
Back
Top Bottom