Mazindu Msambule
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 7,510
- 6,877
Nadhani point ya muuliza swali anataka umtajie majina ya watawala wa Palestine kabla ya mwaka 1947; mfano Israel unaweza kuwataja wafalme wao kama kina Joshua, Samuel, Sauli, Daudi, Suleiman nk, sasa je tunayajua majina ya watawala/wafalme wa Kipalestine walau 5 kabla ya mwaka 1947? Nipo interested kujua hata mimi brother.Kabla ya hapo Palestina ilikuwa ikitawaliwa na watawala tofauti tofauti na si lazima waitwe wafalme au maraisi.Mara ya mwisho ilikuwa ni sehemu ya utawala wa kiislamu wa Ottoman ambao ulianzia nchi za kiarabu mpaka Ulaya na Asia.
Sielewi kwa nini unasisitiza kwenye nchi, hii jamii ilikuwepo tokea muda mrefu ni ilitawaliwa na dola mbalimbali kwa vipindi tofauti. Hata kama haikuwa nchi, bado ilikuwa na utaratibu wake wa uongozi.Kuigawaje palestina Tena hakukua na nchi inayoitwa palestina Bali kulikua na jamii za warabu na waisrael
Kama kulikua na taifa la palestina ntajie wafalme angalau watano wa palestina waliotawala kabla ya 1947
Unalazimisha kosa jomba. Mwaka 1947 Palestine ilikuwa bado chini ya Uingereza. Alipouliza kabla ya 1947 maana yake ni kabla ya utawala wa uingereza, huwezi kujibu Uingereza wakati uingereza bado anatawala wakati huo.Hapo ndio naposema akili huna afu unashupaza shingo. Kasema mara ya MWISHO walitawaliwa na Ottoman empire, nikamwambia aache uongo, mara ya walitawaliwa na Uingereza, na ndio maana Uingereza ilishiriki (kama colonial master) kuigawa Palestina ili kuunda taifa la Israel.
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Ntajie hawa viongozi, taifa lolote ambalo hakikukua na kiongozi ni halikuwepo, hata makabila yetu yalikua na machief na walijulikana na kulikua na Koo za kichiefSielewi kwa nini unasisitiza kwenye nchi, hii jamii ilikuwepo tokea muda mrefu ni ilitawaliwa na dola mbalimbali kwa vipindi tofauti. Hata kama haikuwa nchi, bado ilikuwa na utaratibu wake wa uongozi.
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
kwa mujibu wako wa Israeli halisi ni wapi? Make umesha sema hao waliopo hapo ni walowezi wa kizungu, inamaana wapo wa Israeli org.Achana na conspiracy theories, hakuna muisrael mweusi
Jibu ni kwamba hakukua na taifa la palestina kabla ya 1947 na hakukua na mfalme aliyetawala palestina na ukweli ni kwamba Hana majibuUnalazimisha kosa jomba. Mwaka 1947 Palestine ilikuwa bado chini ya Uingereza. Alipouliza kabla ya 1947 maana yake ni kabla ya utawala wa uingereza, huwezi kujibu Uingereza wakati uingereza bado anatawala wakati huo.
Umeshusha kitu kweli kweliNdo wakina Nani hao wataje majina nahakika huwezi wataja sababu hawakuwepo
Kabla ya mwaka 1947 hakukua na taifa linaloitwa palestina ottoman ilitawala kipindi Fulani tu, falme tofauti tofauti zilitawala kama roman empire na mtu wa mwisho alikua mwingireza hakukua na taifa linaloitwa palestina ndo maana hakuna mtawala wa palestina aliyekuwepo kabla ya 1947
Shimon Peres rais na wazir mkuu wa Israel alizaliwa mwaka 1923 na hapo ni kabla ya mwaka 1947 mtu atasemaje hawakuwepokwa mujibu wako wa Israeli halisi ni wapi? Make umesha sema hao waliopo hapo ni walowezi wa kizungu, inamaana wapo wa Israeli org.
Hao org ni wapi kwa mujibu wako?
Walishazaliana na kumezwa na jamii za Ulaya, hawa wa sasa ni machotara fullykwa mujibu wako wa Israeli halisi ni wapi? Make umesha sema hao waliopo hapo ni walowezi wa kizungu, inamaana wapo wa Israeli org.
Hao org ni wapi kwa mujibu wako?
Kama walikuwepo hapo Israel hakukuwa na ulazima wa UN kuunda taifa la IsraelShimon Peres rais na wazir mkuu wa Israel alizaliwa mwaka 1923 na hapo ni kabla ya mwaka 1947 mtu atasemaje hawakuwepo
Taifa la Palestine limeaanza hata kabla ya ukoloni wa Uingereza, punguza kula ugali mbichi.Jibu ni kwamba hakukua na taifa la palestina kabla ya 1947 na hakukua na mfalme aliyetawala palestina na ukweli ni kwamba Hana majibu
Ntajie wafalme wake angalau watanoTaifa la Palestine limeaanza hata kabla ya ukoloni wa Uingereza, punguza kula ugali mbichi.
Lilikuwepo na walishakua na wafalme karibia 40 kuwa unapenda kusoma historiaKama walikuwepo hapo Israel hakukuwa na ulazima wa UN kuunda taifa la Israel
Kwa hiyo UN waliunda nini ?Lilikuwepo na walishakua na wafalme karibia 40 kuwa unapenda kusoma historia
Taifa ambalo lilokuwepo hapo zamani, sababu wengi wao waliopelekwa ulaya na Dolla ya kirumi Mika ya 70'sKwa hiyo UN waliunda nini ?
Ungekua unafuata mambo yako hata jamiiforum usingekuwepo, kitendo Cha kuwepo na kusoma nyuzi unafuata mambo ambayo siyo yakoKufuata Mambo yako ni Raha sana
MisconceptionUngekua unafuata mambo yako hata jamiiforum usingekuwepo, kitendo Cha kuwepo na kusoma nyuzi unafuata mambo ambayo siyo yako
Nitajie Raisi wa Tanzania 1950 ni Nani? Ushaambiwa kulikuwa na Ottoman baadae Muingereza means na wao kama tulivyokuwa Sisi walikuwa wa kutafuta Uhuru wao.Ndo wakina Nani hao wataje majina nahakika huwezi wataja sababu hawakuwepo
Kabla ya mwaka 1947 hakukua na taifa linaloitwa palestina ottoman ilitawala kipindi Fulani tu, falme tofauti tofauti zilitawala kama roman empire na mtu wa mwisho alikua mwingireza hakukua na taifa linaloitwa palestina ndo maana hakuna mtawala wa palestina aliyekuwepo kabla ya 1947