Misri ni taifa la watu weusi kama unavyoona waafrica leo angalia video hiyo alafu toa maoni yako kama unaunga mkono au la

Misri ni taifa la watu weusi kama unavyoona waafrica leo angalia video hiyo alafu toa maoni yako kama unaunga mkono au la

maganjwa

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2012
Posts
2,800
Reaction score
2,339
 

Attachments

  • mandela.PNG
    mandela.PNG
    150.3 KB · Views: 5
Kuna kila dalili Africa Kaskazini yote iliibiwa na Waarabu kutoka kwa Weusi.

Angalia huo ukanda unaoanzia Asia, Iran, Kuwait, iraq, Syria ikaja Egypt, Libya, Algeria, Tunisia, Morocco.

ramani 2.png
 
Kuna kila dalili Africa Kaskazini yote iliibiwa na Waarabu kutoka kwa Weusi.

Angalia huo ukanda unaoanzia Asia, Iran, Kuwait, iraq, Syria ikaja Egypt, Libya, Algeria, Tunisia, Morocco.

View attachment 1305428
kiongozi hiyo nikweli kabisa maana vita huwa inawakimbiza watu na eneo hilo ilkuwa ni hot area ya vita kwa miaka mingi bila utulivu walioweza kukaa kwa miaka mingi ni misri ndo maana kuna hazina nyingi ya watu wweusi
 
Siku nikipata nafasi nitashusha mzigo hapa.
 
Back
Top Bottom