Misri watishia kuvunja mkataba wa Camp David iwapo Israel itashambulia Rafah

Misri watishia kuvunja mkataba wa Camp David iwapo Israel itashambulia Rafah

Waziri wa Ulinzi wa Israel ndie alitamka Hilo

Kuwa brigade sita za Hamas walishamalizana nazo zimebaki mbili tu

Wiki mbili zilibadilika baada ya kugundua kuwa vita na Hamas Iko tofauti muda ukaongezwa

Kawaida vita hupiganwa maeneo matatu vita ya kwanza angani,ya pili ardhini ya tatu majiji

Vita ilipoanza wataalamu wa vita wa Israel walijua kuwa ni maeneo hayo matatu lakini vita ilivyokuwa ikiendelea wakagundua kuwa Hamas ni wapiganaji wa chini ya Ardhi kwenye zile Tunnels zao .Aina hoi ya vita ni tofauti Jeshi la IDF la Israel walikuwa hawajawahi pigana vita ya aina hiyo ikabidi waanze kupiga hiyo mi tunnels na kwenda huko ndani kuwaua Hamas Kwa vita za ana Kwa ana

Kilichosogeza muda ni hiyo mi tunnels lakini Kwa angani,na majini na juu ya Ardhi Israel walishawadhibiti barabara .Hamas wamebakia wenye hizo tunnels na ni nyingi mno chini ya Ardhi ya Gaza. Sasa vita ya chini ya Ardhi Sio nyepesi kama maeneo Mengine ndio maana muda umekuwa mrefu ila Hamas waliofikiwa huko kwenye Tunnels na wengine kufa Kwa kukosa hewa baada ya Jeshi la Israel kukata Umeme wa Air condition walizokuwa nazo huko ndani na kuziba milango yote ya kuingiza hewa huko chini ya Ardhi ni wengi

Hamas wengine kibao wamekufa huko chini baada ya IDF kumwaga maji ya Bahari huko kwenye Tunnels ili wafe maji huko kwenye Tunnels hao hakuna atakayeona maiti zao milele wanahesabika tu kuwa walipotea
Israhell hawajawahi kua wakweli mwanzo wa vita walitwambia kwamba wameitenganisha ghaza kusini na kaskazini
Miezi minne leo baada ya vita umeliona hili
Vita hata ipiganwe sehemu sita bado wazayuni waongo na hawana uweledi kwenye mapambano
Wangekua na weledi kama tunavyoambiwa na MSM
Huko tuneel ndio waoga kabisa kabisa kuingia wanachokiweza wao kuua watoto na kuharibu hospital ila nje ya hapo hawana wanaloweza
 
Waziri wa Ulinzi wa Israel ndie alitamka Hilo

Kuwa brigade sita za Hamas walishamalizana nazo zimebaki mbili tu

Wiki mbili zilibadilika baada ya kugundua kuwa vita na Hamas Iko tofauti muda ukaongezwa

Kawaida vita hupiganwa maeneo matatu vita ya kwanza angani,ya pili ardhini ya tatu majiji

Vita ilipoanza wataalamu wa vita wa Israel walijua kuwa ni maeneo hayo matatu lakini vita ilivyokuwa ikiendelea wakagundua kuwa Hamas ni wapiganaji wa chini ya Ardhi kwenye zile Tunnels zao .Aina hoi ya vita ni tofauti Jeshi la IDF la Israel walikuwa hawajawahi pigana vita ya aina hiyo ikabidi waanze kupiga hiyo mi tunnels na kwenda huko ndani kuwaua Hamas Kwa vita za ana Kwa ana

Kilichosogeza muda ni hiyo mi tunnels lakini Kwa angani,na majini na juu ya Ardhi Israel walishawadhibiti barabara .Hamas wamebakia wenye hizo tunnels na ni nyingi mno chini ya Ardhi ya Gaza. Sasa vita ya chini ya Ardhi Sio nyepesi kama maeneo Mengine ndio maana muda umekuwa mrefu ila Hamas waliofikiwa huko kwenye Tunnels na wengine kufa Kwa kukosa hewa baada ya Jeshi la Israel kukata Umeme wa Air condition walizokuwa nazo huko ndani na kuziba milango yote ya kuingiza hewa huko chini ya Ardhi ni wengi

Hamas wengine kibao wamekufa huko chini baada ya IDF kumwaga maji ya Bahari huko kwenye Tunnels ili wafe maji huko kwenye Tunnels hao hakuna atakayeona maiti zao milele wanahesabika tu kuwa walipotea
Hizo ni porojo kaka.
CIA ilitoa ripoti ikisema hamas brigade ina wapiganaji wapatao 30k na katika hilo jeshi IDF wameweza kuua hamas 2k pekeake.
Inamaana bado wapiganaji 28k .
Ngoma bado mbichi.
 
Kwa hiyo Shotocan unataka sema kuwa, Mossad na MI ya IDF hawakujua kuwa Hamas wana tunnels? Walianzisha Operation bila recon?
 
Ulikuwa kwanza kila nchi iweke mbali majeshi yake na mpaka wa Misri na kwamba Sinai itarudiswa kwa Misri lakini pia asiweke jeshi pale.
Israel ingeruhusiwa kupitisha meli zake za kibiashara mfereji wa Suez ambazo awali hazikuruhusiwa kupita hapo.
Hayo ndiyo muhimu ninayoyakumbuka.
1. Misri pia ilikubali kutambua uwepo wa taifa la Israel.

2. Misri iliahidi kutoshiriki katika hujuma yoyote dhidi ya taifa la Israel kupitia vikosi vyake vya kiusalama wala kwa kuunga mkono kikundi chochote cha kigaidi.
 
Maneno yako ni kweli pia hizi mbwebwe zote ni sababu Israel kashindwa kukomboa hata mateka wake mmoja na Hamasi bado wako strong hakuna hata target yake mmoja iliyo muingiza vitani imefanikiwa, hizo ni siasa kuonyesha Israel atasimamisha vita kutokana anamatatizo na Egypt hizo ni plan wanazo zifanya hizo nchi ili aonekeane Israel hajashindwa vita 😄

Leo Biden na Anthony Blinken ndio wana uchungu na watoto/wanawake wa Gaza bada ya kuwauwa karibu 28,000 😄 Leo pia nchi za kiarabu kama Saud Arabia, Jordan, Egypt, Morocco, UAE, Baharain na kibaraka wao Mahamoud Abbas wanauchungu na watoto wa Gaza hi kweli inawezekana? Sidhani hizi zote ni filim wameona Israel kashindwa vita hawataki kusema Hamasi kawashinda.

We huoni wananza kama kushambuliana wao kwa wao ili wajinge wamini kama kweli kuna matatizo kati yao, hi si kweli ni propoganda tu. Siasa kitu kibaya sana hawataki kuwapa Haki zao Hamasi kwa kusema wameshinda hi vita.

Israel kafail kwenye kila kitu, kafail kwenye vita, kwenye utu, kwenye siasa, kwenye economy yani kila kitu kafail kajidhalilisha sana duniani yeye na hizo nchi za European na za kiarabu.

Big up to Hamasi nyie ndio masuper power wa Middle East pamoja na Yemen.
Mkuu kweli Hamas ameshinda vita!!? Au unataka kutufanya sisi humu JF hatuna akili na uelewa wa mambo!!? Pia unataka kutuambia TV ya Aljazeela wanatuonyesha uongo jinsi Gaza ilivyochakazwa na IDF!!?

Kawadanganye ndugu zako nyumbani kwenu!!
 
Back
Top Bottom