Misri yakataza vazi la Niqab katika shule za Serikali

Misri yakataza vazi la Niqab katika shule za Serikali

Uislamu unapigwa vita sana lakini hawatashinda
Nani akupige vita ndugu hilo taifa 90% ni Islam 10% waliobaki ndiyo wanagawana hizo 10% zilizobaki unadhani waliokataa ni dini gani hapo?

Wewe na dini yako zaidi ya kuzidi kuifanya akili yako ishindwe kuwaza vyema unadhani una nini cha kuwatisha watu duniani hapa?hivi tu taifa lako maskini wewe mwenyewe maskini linauzwa kwa mafungu na dada yenu mmeshindwa kutoa tamko la maana zaidi mnakenua tu meno as long as anayenunua ndiye aliyewapa dini mtaweza kufanya kipi dunia hii hata mumtishe mtu?

Hovyo tu.
 
Hawqajakatawa kuvaa wameambiwa shule wasiingi hivyo, sasa si unampa kazi Mwalimu kujuwa huyu nani yule nani. Fikiri kidogo.

Uislam haujazuwia wala haujashadadia kuvaa niqab, kama occasion inaruhusu wavae, lakini shule Misri wameambiwa hapana. Wavae nje ya shule.

Mradi hawajakataza hijab silioni tatizo.

Halafu mnaolishikia bango hili ni wale ambao siyo Waislam nyinyi mnaupenda sana Uislam si msilimu tu. Kwanini mnajiumiza roho zenu bila sababu?
Canada wamekuchakachua
 
Kwa hiyo serikali ya Misri inapiga vita uislam, poor you...
Kuishi katikati ya jamii inayowaza ujinga kama hivi unaweza ukaona kama ni laana.

Misri 90 percent ni waislam na wameamua waliyoamua iwe kwa ubaya au kwa uzuri (ni kwa maoni yao)lakini mpumbavu mmoja mweusi kama mkaa yupo hapo Kibiti anakuja na hoja mfu kama hii,anadhani ana kitu cha kuitisha dunia.

Hopeless kabisa
 
kwa nini nyie waislam hampendi waislam wenzenu wavae vazi hilo? Wenyewe wanaona wanapaswa kuvaa vile kulinda maadili yao ya kidini katika imani yao
Inatakiwa hijabu hilo ya uso mzima ni maamuzi ya mtu hata sanamu la maria limevaa hiyo hijabu.


Ishu ni pale kuficha uso mzima kutumia kinyume na misingi ya kiislamu kama kufanya ugaidi ..
 
Kusilimu ni heshima ,ndio maana ukaandika

Niqab
1694707668740.png
 
Kuishi katikati ya jamii inayowaza ujinga kama hivi unaweza ukaona kama ni laana.

Misri 90 percent ni waislam na wameamua waliyoamua iwe kwa ubaya au kwa uzuri (ni kwa maoni yao)lakini mpumbavu mmoja mweusi kama mkaa yupo hapo Kibiti anakuja na hoja mfu kama hii,anadhani ana kitu cha kuitisha dunia.

Hopeless kabisa
Wewe ndio mjinga namba ,vazi la kujifunika uso mzima sio hijabu ni vitu viwli tofauti ma wanachofanya hapo ni kuepuka watu wanaotukia vibaya.

Wapo wakristo wanavaa na kufanya ujambazi ,mauaji hata uwizi hata waislamu pia wanvaa wengine sio kama kinga ya kujistri ila wanafanya ujinga ..


Hwajazuia hijab ni vazi hilo ,kuwa na akili kwamba watu waruhusiwe kuvaa nusu uchi kabisa na wewe unakubali.?
 
Wewe ndio mjinga namba ,vazi la kujifunika uso mzima sio hijabu ni vitu viwli tofauti ma wanachofanya hapo ni kuepuka watu wanaotukia vibaya.

Wapo wakristo wanavaa na kufanya ujambazi ,mauaji hata uwizi hata waislamu pia wanvaa wengine sio kama kinga ya kujistri ila wanafanya ujinga ..


Hwajazuia hijab ni vazi hilo ,kuwa na akili kwamba watu waruhusiwe kuvaa nusu uchi kabisa na wewe unakubali.?
Acha nikose tu akili kama serikali ya nchi fulani,kwa matakwa yao,kwa utashi wao na kwa kutumia muda wao na kulipana seat allowance kwa pesa zao waamue wanayoyajua wao then mimi huku bara la giza nione kama wanapiga vita sijui imani sijui ujinga gani!!!

Siku nikiwa na akili hizi hata wewe nione mjinga but kama leo Tanzania hii yupo mtu anapinga maamuzi ya nchi fulani akiyachukulia kama ni vita kwa dini yake huyo/hao nasisitiza ni laana ku-share nao utaifa
 
Acha nikose tu akili kama serikali ya nchi fulani,kwa matakwa yao,kwa utashi wao na kwa kutumia muda wao na kulipana seat allowance kwa pesa zao waamue wanayoyajua wao then mimi huku bara la giza nione kama wanapiga vita sijui imani sijui ujinga gani!!!

Siku nikiwa na akili hizi hata wewe nione mjinga but kama leo Tanzania hii yupo mtu anapinga maamuzi ya nchi fulani akiyachukulia kama ni vita kwa dini yake huyo/hao nasisitiza ni laana kuishi nao sehemu moja
Una makasiriko tafuta pesa mambo ya serikali hayakuhusu hapa..

Pia maoni yako yapo nje ya mada 😂😂tafute pesa kufuatilia mambo ya serikali ni kupoteza mda,wote ni wezi na hiyo ndip siasa .

Msinge shupaa kwa kusema ni mzanzibar wakati mda huo ni raisi wa nchi ,msingesema kwambq TEC ndio mweny maamuzi makubwa ya nchi .
 
Una makasiriko tafuta pesa mambo ya serikali hayakuhusu hapa..

Pia maoni yako yapo nje ya mada 😂😂tafute pesa kufuatilia mambo ya serikali ni kupoteza mda,wote ni wezi na hiyo ndip siasa .

Msinge shupaa kwa kusema ni mzanzibar wakati mda huo ni raisi wa nchi ,msingesema kwambq TEC ndio mweny maamuzi makubwa ya nchi .
Pesa natafuta siyo mpaka wewe uniambie asili yangu ni wale wanaoona hela ndiyo kila kitu so aut'cally kuitafuta ni jukumu langu.

Mimi nakupa facts hata wewe kama una mishe hizo za kuamini maamuzi ya watu yanapiga vita imani yako acha una mambo mengi sana ya kufanya kwenye hii nchi yako iliyojaa tabu kuliko hao watu
 
Pesa natafuta siyo mpaka wewe uniambie asili yangu ni wale wanaoona hela ndiyo kila kitu so aut'cally kuitafuta ni jukumu langu.

Mimi nakupa facts hata wewe kama una mishe hizo za kuamini maamuzi ya watu yanapiga vita imani yako acha una mambo mengi sana ya kufanya kwenye hii nchi yako iliyojaa tabu kuliko hao watu
Sijawahi kufuatlia watu na sina time na watu ,hayo ni maslahi yao wewe na familia yako pambana.

Viongozi wasaliti ni miongoni kwa watanzania usije kesho ukapata nafasi na wewe ukafanya yale yale.
 
Hawqajakatawa kuvaa wameambiwa shule wasiingi hivyo, sasa si unampa kazi Mwalimu kujuwa huyu nani yule nani. Fikiri kidogo.

Uislam haujazuwia wala haujashadadia kuvaa niqab, kama occasion inaruhusu wavae, lakini shule Misri wameambiwa hapana. Wavae nje ya shule.

Mradi hawajakataza hijab silioni tatizo.

Halafu mnaolishikia bango hili ni wale ambao siyo Waislam nyinyi mnaupenda sana Uislam si msilimu tu. Kwanini mnajiumiza roho zenu bila sababu?
Sasa tusikusikie ukipiga kelele Ufaransa inapojiamulia kukataza Abaya mashuleni.

Au Abaya nayo umeandikwa kwenye Quran?
 
Back
Top Bottom