Kutokana na upuuzi wao, kushinikiza Serikali mambo ya kijahidina yao wasishangae huyo huyo anayevaa hijab akaja wageukaHapa kwetu waondoe hijabu mashuleni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutokana na upuuzi wao, kushinikiza Serikali mambo ya kijahidina yao wasishangae huyo huyo anayevaa hijab akaja wageukaHapa kwetu waondoe hijabu mashuleni
Tatizo lenu hamjui na hamjui kama hamjuiKwa hiyo serikali ya Misri inapiga vita uislam, poor you...
Sasa kam Niqab sio vazi la Kiislam zile kelele na maandamano kwa Ufaransa walipopiga marufuku Niqab zilikuwa za nini?Niqab sio vazi la kiislamu.
Uislamu umesema uso na viganja vya mikono viwe wazi.
Niqab ni vazi la waarabu wa jangwani ili kuzuia vumbi kali kuingia usoni.
kasome tafiti za kimataifa ujue ni gani inakuwa kwa haraka zaid ndani ya miaka hii 30 ya sasa?hawatashinda kitu gani wakati uislam unapukutika kama majani ya kiangazi. Kila kona unapukutishwa kwa amani tu kwa kuingiziwa tamaduni za magharibi. Unajaziwa vitu vizuri kama chambo umalizwe
Inazuia ufundishaji! Interactive environment ni muhimu katika ufundishaji !kwa nini nyie waislam hampendi waislam wenzenu wavae vazi hilo? Wenyewe wanaona wanapaswa kuvaa vile kulinda maadili yao ya kidini katika imani yao
Umesema Uislam ni dini inayokuwa kuliko zote... huwa mnaishia hapo tu, hampendagi kumalizia kwa kutaja kuwa ni dini gani Kubwa kuliko zote kwa karne na karne.kasome tafiti za kimataifa ujue ni gani inakuwa kwa haraka zaid ndani ya miaka hii 30 ya sasa?
kwa kukusaidia tu Uislam ndio dini inayokuwa kwa haraka zaid baada ya maendeleo kwny technology ya habari na mawasiliano inayowawezesha watu sasa kusoma na kuujua uislam
zamani iliwalazimu kuangalia life style ya Waarabu na ku make conclusion lakini siku hizi watu wanasoma Islamic teachings zenyewe na ndio sababu rate ya kusambaa imekuwa kubwa zaid Duniani kuliko Dini yeyote ile
Wewe ukiulizwa Nchi gani Afrika Mashariki na kati uchumi wake unakuwa kwa kasi utasema Congo ndio Nchi yenye misitu mingi zaid kwny eneo hilo?Umesema Uislam ni dini inayokuwa kuliko zote... huwa mnaishia hapo tu, hampendagi kumalizia kwa kutaja kuwa ni dini gani Kubwa kuliko zote kwa karne na karne.
Sasa hebu malizia hii habari.
Ni Dini gani Kubwa kuliko zote hapa Duniani?
Swali langu ni rahisi sana, usilikwepe.Wewe ukiulizwa Nchi gani Afrika Mashariki na kati uchumi wake unakuwa kwa kasi utasema Congo ndio Nchi yenye misitu mingi zaid kwny eneo hilo?
Shule ulienda kusomea ujinga?
Hoja niliyokuwa naijibu ni kuwa Uislam unapukutika nikajibu leteni takwimu za dini inayokuwa kwa kasi zaid ili tuthibitishe hizo hoja za kuwa unapukutika pengine Jamaa alieleta hiyo hoja kashindwa jibu, wewe msaidie kwanza halafu ndio tunakuja kwny hoja yako na majibu yapo tena evidence based. karibuSwali langu ni rahisi sana, usilikwepe.
Narudia tena kukuuliza.
Ni dini gani ni KUBWA kuliko zote hapa Duniani?
Acha Uongo Israel haijakataa Ukiristo; Israel ni democracy dini yeyote inaruhusiwa. Hata Misikiti ipo Hadi Tel Aviv. Ila Kuna dini ya Mayahudi ambayo wao wanaamini Messiah Bado hajaja. Hivyo hawaamini kuwa Yesu ndiyo Messiah. Kwa mkiristo anaona ni Bora wayahudi kuliko nyinyi SUNNI kwa sababu mna historia ya kufuta evidence za Imani nyingine mkipewa Mamlaka. Mmefanya hivyo Iraq (ISIS), AFGHANISTAN na UTURUKI. Hata pale Jerusalem mlipopata tu mwanya mlifuta historia ya Hekalu la Daudi kwenye Dome of the Rock.Kama israel wamekataa ukristo kwa nn usiumie!?😂😂😂
yaani taifa mnaloita takatifu mpaka bender zake mmeweka kanisani leo linakataa na wala halina wakristo wengi na bible wanasema ni utapeli 😂.
Hakuna aliyekubishia kuwa Uislam unakuwa kwa kasi.Hoja niliyokuwa naijibu ni kuwa Uislam unapukutika nikajibu leteni takwimu za dini inayokuwa kwa kasi zaid ili tuthibitishe hizo hoja za kuwa unapukutika pengine Jamaa alieleta hiyo hoja kashindwa jibu, wewe msaidie kwanza halafu ndio tunakuja kwny hoja yako na majibu yapo tena evidence based. karibu
Kama waliweza kupenyeza kombe la dunia Qatar basi hakuna kitakacho washinda
Wewe unazungumzia kufuta alama tu?Acha Uongo Israel haijakataa Ukiristo; Israel ni democracy dini yeyote inaruhusiwa. Hata Misikiti ipo Hadi Tel Aviv. Ila Kuna dini ya Mayahudi ambayo wao wanaamini Messiah Bado hajaja. Hivyo hawaamini kuwa Yesu ndiyo Messiah. Kwa mkiristo anaona ni Bora wayahudi kuliko nyinyi SUNNI kwa sababu mna historia ya kufuta evidence za Imani nyingine mkipewa Mamlaka. Mmefanya hivyo Iraq (ISIS), AFGHANISTAN na UTURUKI. Hata pale Jerusalem mlipopata tu mwanya mlifuta historia ya Hekalu la Daudi kwenye Dome of the Rock.
Wanaovaa ni utaratibu sio lazima labda hijabu kumbuka hata viroba vilivyopigwa marufuku watu walipiga kelele[emoji23][emoji23]
Kitu kibaya dada ako au mother wako anavaa kama kahaba [emoji23][emoji23]then unaona sawa ila rohoni inakuuma sana kwa nn waislamu wanavaa vizuri!?
Hatufanani na manaswara na wala hatufuati mila zao.
unaumizwa na Majini kujaa barabarani kuliko machokoHatua nzuri sana hii majini yatapungua barabarani
Unaandika historia za porojo kama ulikuwa kijijini basi kusambaza ukristo huko israel ni keso unakwenda jela kama hujui.Acha Uongo Israel haijakataa Ukiristo; Israel ni democracy dini yeyote inaruhusiwa. Hata Misikiti ipo Hadi Tel Aviv. Ila Kuna dini ya Mayahudi ambayo wao wanaamini Messiah Bado hajaja. Hivyo hawaamini kuwa Yesu ndiyo Messiah. Kwa mkiristo anaona ni Bora wayahudi kuliko nyinyi SUNNI kwa sababu mna historia ya kufuta evidence za Imani nyingine mkipewa Mamlaka. Mmefanya hivyo Iraq (ISIS), AFGHANISTAN na UTURUKI. Hata pale Jerusalem mlipopata tu mwanya mlifuta historia ya Hekalu la Daudi kwenye Dome of the Rock.
Wapi wanacheza mpira? Kila mmisri au muarabu ni muislamu?Mbona kwenye mpira tunawakuta wamebaki vichupi vitupu, kwa nini wasivae hijabu au Niqar?
Acha Uongo Abdel Fattah el-Sisi, siyo Myahudi. Kwanini nyinyi watu mnapendaga kuzusha Uongo, ndivyo dini yenu imewafunza?What's the reason behind this?
Kama ni usalama labda maana Egypt matukio yao sio ya kawaida
Anwar Sadat mwaka 1981 aliuwawa na mjeda
Lakini kama ni sababu zingine za kisiasa basi ni kosa kuingilia
Al Sisi ni myahudi sasa sijui kutatokea nini
Wapi tumesema wamisri ni makafir[emoji23][emoji23]
Yaani umkute mama ako kavaa kama wale makahaba wa Riverside [emoji23][emoji23]na anaenda kanisani..
Roho inauma sana kuona mapaja na mama ako na dada ako [emoji23]..