Misri yakataza vazi la Niqab katika shule za Serikali

Misri yakataza vazi la Niqab katika shule za Serikali

Kasome Qur'an 33:59
Ndio Aya yenye majina ya Hijabu na Niqabu hiyo ?

Jibu swali Jinni Jike Fulkan.

Au hujui kuwa Fulkan ni Jina la Jinni Jike?
Jinni dume kaka lake linaitwa Jinni Fulkun.
Yaa Fulkun. Hujafika huko kumbe.

Majina ya Waislamu wenzako hayo.

Endelea Kula kande na kulala usingizi mzito.
Na kukremu kremu viaya usivyo Vijua vya lugha ngeni ya Kiarabu.
Mpimbi wewe.
 
Niqab ni ile uliyokuwa unaivaa wakati wa corona, ukipenda usipende.

Umeijuwa sasa?

Ina manufaa yake ikitumika vizuri na ina matatizo yake ikitumika vibaya.

Wewe huna dini? Au huna imani na dini?

Sasa mbona usiite barakoa lazima ung'ang'anie kiarabu, au ni yale yale kwamba kiarabu ndio lugha ya binguni kwa mujibu wa yule mzee wenu mwarabu mnayemuabudu...

screenshot_20220731-204338-2-jpg.2310321
 
Unataka kusema amerika kusini na kati dini hii inakua kwa kasi? Sawa wacha ikue, lakini inakua huku ikipukutishwa kwa kasi ile ile ya ukuaji
 
Duh! Hii kali, kwa hiyo nchi kama saud arabia, iran, iraq, syria na jordan zinaweza kuwa na viongozi wenye asili ya uyahudi? Vipi afrika ukiacha ethiopia, huku kusini mwa jangwa la sahara kunaweza kutokea mbantu mwenye asili ya uyahudi akawa kiongozi? Nigeria kuna star wa filamu inasemakana ana asili ya uyahudi, huyo jamaa si mzungu ila ana ushombe shombe hivi.
 
Kama waliweza kupenyeza kombe la dunia Qatar basi hakuna kitakacho washinda
Na hii wacheza soka wakubwa kwenda nchi za kiislam si kitu cha kawaida. Ni kuharibu kabisa tamaduni za kiislam kwa mikono ya waislam wenyewe kama kununua timu ulaya. Wataingiza mambo mengi sana ya kimagharibi na mwisho uislam kutupiliwa mbali
 
Na hii wacheza soka wakubwa kwenda nchi za kiislam si kitu cha kawaida. Ni kuharibu kabisa tamaduni za kiislam kwa mikono ya waislam wenyewe kama kununua timu ulaya. Wataingiza mambo mengi sana ya kimagharibi na mwisho uislam kutupiliwa mbali
Umenielewa vizuri. Kidogo kidogo watazoea
 
Duh! Hii kali, kwa hiyo nchi kama saud arabia, iran, iraq, syria na jordan zinaweza kuwa na viongozi wenye asili ya uyahudi? Vipi afrika ukiacha ethiopia, huku kusini mwa jangwa la sahara kunaweza kutokea mbantu mwenye asili ya uyahudi akawa kiongozi? Nigeria kuna star wa filamu inasemakana ana asili ya uyahudi, huyo jamaa si mzungu ila ana ushombe shombe hivi.
Jerusalem nilikutana na Mwafrica Kiongozi wa dini ya Kiyahudi.

Nilitafakari sana kapenya vipi sikuelewa hadi leo
 
Unatuletea habari Toka News Magazine of the Islamic Movement, unafikiri watasema nini kama si kuendeleza Uongo mliofunzwa kwenye dini yenu.
Mnajulikana kwa chuki zenu na mkiwa mbele zetu hamthubutu kuongea haya mnayosema nyuma ya keyboards
You are cowards
 
hawatashinda kitu gani wakati uislam unapukutika kama majani ya kiangazi. Kila kona unapukutishwa kwa amani tu kwa kuingiziwa tamaduni za magharibi. Unajaziwa vitu vizuri kama chambo umalizwe
Kuna majamaa fulani wa kiarabu huko Dubai wakati tunapiga story wakakubaliana kuwa kati ya vitu wanasikitikia sana kucheleweshwa, ni kula kitimoto.
 
Unapigwa vita na nani kwani misri sio waislamu
Ni waislam lakini athari ya kimaslahi kwa baadhi ya viongozi wa nchi za kiislamu kuvutwa na siasa za magharibi ili waislam wafuate mila zao lakin hawatafanikiwa
 
Kuna majamaa fulani wa kiarabu huko Dubai wakati tunapiga story wakakubaliana kuwa kati ya vitu wanasikitika sana kuchelewwshwa ni kula kitimoto.
wasiwe na wasiwasi muda utafika watakula kitimoto tani yao na watawafuga sana tu. Wapelekewe mashindano makubwa ya kimataifa huko kama kombe la dunia, olimpiki, mieleka, mbio za magari, tenisi na mengine mengi ya kuwachanganya wautupilie mbali uislam wao. Watabaki na uislam wa wastani na mwisho wanakuwa kama wamagharibi tu
 
Nani akupige vita ndugu hilo taifa 90% ni Islam 10% waliobaki ndiyo wanagawana hizo 10% zilizobaki unadhani waliokataa ni dini gani hapo?

Wewe na dini yako zaidi ya kuzidi kuifanya akili yako ishindwe kuwaza vyema unadhani una nini cha kuwatisha watu duniani hapa?hivi tu taifa lako maskini wewe mwenyewe maskini linauzwa kwa mafungu na dada yenu mmeshindwa kutoa tamko la maana zaidi mnakenua tu meno as long as anayenunua ndiye aliyewapa dini mtaweza kufanya kipi dunia hii hata mumtishe mtu?

Hovyo tu.
Kwa hili la missri na hijab tunasema baadhi ya viongozi wa kiislamu wanavutwa ni maslahi ya kimagharibi ili waislamu wafuate mila za kiyahudi na manasara lakini hawatafanikiwa

Kuhusu dada yetu hizo nongwa zimekuja baada ya mama mzanzibar tena mwanamke kuongoza JMT linawaumiza sana ndio mana sasa munakuja na ubaguzi wa kidini na kijinsia waziwazi, mumesahau kwamba Jamuhuri ya Muungano katiba inataka uongozi wa Jamuhuri ya Muungano uwe wa kupokelezana Rais akitoba upande huu wa muungano mara nyengine atoke upande mwengine, miaka yote rais wa JMT amekuwa akitoka Tanganyika sasa mara hii mama kuukwaa urais mmeumia sana ngojeni munyooshwe mama amekuwa rais bora kuliko hivyo vichogo vilivyopita vya Tanganyika mnakuwa mnaumia sana.

Mama anaenda kubadilisha mfumo wa uchumi wenu ili muondokane na umasikini muliozoea kwa kubadilisha muelekeo wa uwekezaji, bandari yenu itakuwa ya kisasa na ajira kedekede mtainua maisha yenu, bandari itajengwa itakuwa ya kisasa ili muondokane na zile tope tope pale bandarini na wizi wa fedha za umma kila ripoti ya CAG ikija wananufaika wachache mama ameliona hilo atawashughulikieni vizuri ili mutoke ushamba wa kimaendeleo na sio mawazo mgando ya kubaki hapo mulipo sasa.
 
Back
Top Bottom