ushawahi onana nae manake umesema unamkubali kwa urembo wakeHeshima kwenu wakubwa
Samahani kama nitamkwaza MTU hapa
Huyu Dada me namukubali kwa urembo wake na kwa michango yake na ushauri anaotoa katika jukwaa hili. Hana shobo na mtu
Popote ulipo wifi yangu I love youuuu
@Nb/ kama uko na strees pita kulee
acha fujo Vale, unakuja kuwa kama mawifi looooSikuamini wewe hebu muite
Ha haa we nimekustukia... Unaogopa utashawishika kuzama pm[emoji12]
Mi nataka nimsalimie tu banaacha fujo Vale, unakuja kuwa kama mawifi loooo
Na nimkali kweli si mchezo... We ongea na mimi vizuri nikupe namba yake tuhe he he nahisi kitu kama hicho maana hakuna asiependa kitu kikali
hamna kuna kitu hapo looohMi nataka nimsalimie tu bana
Mimi namtaka yeye sitaki no yake. wewe kama unaweza kumnipa yeye fanya hivyo. no nnayo mpka ya Ummy Mwalim naishia kumpigia na kumsalimiya tu na kumtakia kazi njema wakati mie sio mpiga kura wakeNa nimkali kweli si mchezo... We ongea na mimi vizuri nikupe namba yake tu
Basi niitie mara moja tu jamani lohhamna kuna kitu hapo loooh
Sasa utampataje yeye bila namba yake?Mimi namtaka yeye sitaki no yake. wewe kama unaweza kumnipa yeye fanya hivyo. no nnayo mpka ya Ummy Mwalim naishia kumpigia na kumsalimiya tu na kumtakia kazi njema wakati mie sio mpiga kura wake
mtoto huna lingine la kunambia ni hili tu? kwali nimegundua shem nyama ya hamuBasi niitie mara moja tu jamani loh
Nitakupenda mimi usijali.nipende na mie kidogo naomba napenda kupendwa
Duuuh.nitamudu nahisi, wewe nipende tu hata uongo mie nifurahi loooh
Ahsante sana!santee my love.
love you too
santeeeeAhsante sana!
Nitakupenda milele na milele
Kamwe hautojuta kupendwa na Mimi.
Karibu mtoto mzuri kwenye dunia mpya!santeeee
nionyeshe hiyo dunia mpya kwanzaKaribu mtoto mzuri kwenye dunia mpya!
Heshima kwenu wakubwa
Samahani kama nitamkwaza MTU hapa
Huyu Dada me namukubali kwa urembo wake na kwa michango yake na ushauri anaotoa katika jukwaa hili. Hana shobo na mtu
Popote ulipo wifi yangu I love youuuu
@Nb/ kama uko na strees pita kulee