Miss chaga

Miss chaga

How much is he paying you? I will double just for her

CC jje's
Mimi ni mfanyakazi mzuri na naipenda kazi yangu, siwezi kupoteza utu na thamani ya kazi yangu kwa pesa za rushwa. Nitalipwa na STUNTER pesa halali ya kazi ya mikono yangu.
Achana na hayo mambo mkuu utapata hasara na tuhuma 3
1. Nitakushtaki kutaka kutoa rushwa
2. Unataka kuiba mke wa mtu
3. Utapokea kipigo kikali sana kutoka kwa supermarket mpaka uwakumbuke ndugu zako
 
Heshima kwenu wakubwa
Samahani kama nitamkwaza MTU hapa

Huyu Dada me namukubali kwa urembo wake na kwa michango yake na ushauri anaotoa katika jukwaa hili. Hana shobo na mtu
Popote ulipo wifi yangu I love youuuu

@Nb/ kama uko na strees pita kulee
Hebu picha nijue kama kweli ni mrembo?
 
Back
Top Bottom