jje's
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 10,812
- 16,487
weweeeeeWivu wangu mpaka kwa dada zako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
weweeeeeWivu wangu mpaka kwa dada zako
yes my kakaMy sisy!
hahaha hana wivu maana na yeye ana michepuko....hahahahhah hivi asprin ana hizi taarifa za wewe kugawa namba yako ya simu kwa mtu mwingine hahahahahah
Mimi sielewi bila picha kwa kweli .Picha muhimu usipende majibu tupu
Zingatia vigezo na mashariti ya post yangu miss chagga viwanja vyake ni level nyingine, kuonana naye lazima uwe na title fulani hapa mjini.Acheni kutupa hasira bhanaa wapi ulimuona???
Nipe mfano mkuu niende hivyoo viwanjaZingatia vigezo na mashariti ya post yangu miss chagga viwanja vyake ni level nyingine, kuonana naye lazima uwe na title fulani hapa mji.
nihook nae basi,mwambie kapatikana mteja wa caustic anataka kuonana naeni kweli miss chagga ni mzuri i know her out of jf ni my friend pia
Nakupenda sana my dearnakupenda pia umukagame wapotezee wakikusema
PM usichelewe maaanahakuna shida
[emoji39]PM usichelewe maaana
MmhI know this lady, she's cute, romantic, ana sauti nyororo. Usiniulize nilionana naye wapi.
Ndo mwisho wa akili yako kufikiri?
Santeee
Umesema unampenda mpaka unajisikia kuumwa sasa hii sentensi unadhani haina utata kweli. Au unataka kutuchezea akili hapa?
Usoni kweli anavutia. Lakini tatizo hana chura hata kidogo. Na miguu ni fito.Heshima kwenu wakubwa
Samahani kama nitamkwaza MTU hapa
Huyu Dada me namukubali kwa urembo wake na kwa michango yake na ushauri anaotoa katika jukwaa hili. Hana shobo na mtu
Popote ulipo wifi yangu I love youuuu
@Nb/ kama uko na strees pita kulee