Miss chagga bring back my hazbendi

We misschagga unaamuumiza mwenzio asije kufa na presha weee
 
Last edited by a moderator:
Mama yako ana tabia nzuri sn binti yangu km tabia yako ilivyo nzuri!



Pole binti yangu pilika zilinisonga! Mi niko na mama yako mpk kaburini!

Jamani dadii pilika zakufanya umsahau hadi mama, ulinikwaza sana lakini nimekusamehe baba nafurahi umerudi, unajua mama anakupenda sana ndomana anapata tabu asipokuona..
 
Jamani dadii pilika zakufanya umsahau hadi mama, ulinikwaza sana lakini nimekusamehe baba nafurahi umerudi, unajua mama anakupenda sana ndomana anapata tabu asipokuona..

My douta ndio maana mi nakupendaga mnooo....
 
Jamani dadii pilika zakufanya umsahau hadi mama, ulinikwaza sana lakini nimekusamehe baba nafurahi umerudi, unajua mama anakupenda sana ndomana anapata tabu asipokuona..

Nimefurahi kusikia hivyo binti yangu!

Na mimi pia nampenda sn mama yako na wewe pia binti yangu!
 
My douta ndio maana mi nakupendaga mnooo....



Unampenda kuliko unavyonipenda mimi baba yake?
janeth 1 binti yangu mimi na mama yako nani anakupenda sn?
 
Last edited by a moderator:
Unampenda kuliko unavyonipenda mimi baba yake?
janeth 1 binti yangu mimi na mama yako nani anakupenda sn?

Eee nampenda zaidi maana nna uhakika ni wangu...haitatokea akawa na mama mwingine
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…