Lady doctor
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 8,756
- 7,005
sawa, utapata....
shukria
ila wanitengee kitengo kingine sio cha umiss,sifit,mie boooongeeee
kaka unanitenga, sawa... Utaona!
Amen Bwana Yesu asifiwe,njoo tufanye ibaya ya roho tuone uwepo wa raha ya utakatifu
Hujammiss mdogo wako Erick?
Kwani kuna nini?
Asante ila sidhani kama nitaweza kushiriki na hii hali yangu.
Asante ila sidhani kama nitaweza kushiriki na hii hali yangu.
Kwani kuna nini?
kumbe hata makaka wanaruhusiwa Erickb52 naye anahitaji kupendekezwa kwenye kinyang'anyiro hicho basi mm nampendekeza aingie miss cc,
wengine ni Lady doctor, charminglady na Bujibuji
Asante sana my binamu
Heeh...how?!We na mmeo mnachekesha
...ni yupi huyo?Mke mkubwa karudi
Hahaha ndo mana nikaomba mapema mwenzio.....ili nisiwepo kwenye hayoo mashindano.Habari ya kura bado bibie, rejea thread inavyojieleza hapo juu.
kumbe hata makaka
wanaruhusiwa Erickb52 naye anahitaji
kupendekezwa kwenye kinyang'anyiro hicho basi mm nampendekeza aingie
miss cc,
wengine ni Lady doctor,
charminglady na
Bujibuji
kweli
mwallu, halafu eti mke wangu wamempanga huku
kwen mashindano ya mamiss hakiwezekani, naom ba
Arushaone haraka sana mtoe
AshaDii na DEMBA, sina
hakika kama kuna mtu kamtaja gfsonwin, naunga
mkono hoja ya Ablessed. mamiss wajiandikishe
kwanza sie tutawapigia kura....ina maana jackline Ntuyabaliwe akagombee
tena ?