Miss CHIT-CHAT NOVEMBER: Pendekeza Majina sasa!

shukria
ila wanitengee kitengo kingine sio cha umiss,sifit,mie boooongeeee

kweli mwallu, halafu eti mke wangu wamempanga huku kwen mashindano ya mamiss hakiwezekani, naom ba Arushaone haraka sana mtoe AshaDii na DEMBA, sina hakika kama kuna mtu kamtaja gfsonwin, naunga mkono hoja ya Ablessed. mamiss wajiandikishe kwanza sie tutawapigia kura....ina maana jackline Ntuyabaliwe akagombee tena ?
 
Last edited by a moderator:
mi maadili hayaruhusu,watawa kwenye mambo hayo haturuhusiwi kushiriki..alafu pia mie kibonge ...ila mwache DEMBA ashiriki.. ana vitoto kama jaq??
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…