ikongoc
JF-Expert Member
- Jan 13, 2018
- 325
- 312
tukitoka hapa karibu kwa popozi tukeshe mpaka keshoUsiku mwema friends tomorow is another beautfull day!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tukitoka hapa karibu kwa popozi tukeshe mpaka keshoUsiku mwema friends tomorow is another beautfull day!!
Ulale unono mremboUsiku mwema friends tomorow is another beautfull day!!
So u av been tryin different things bcz of ur curiousity?!
tukitoka hapa karibu kwa popozi tukeshe mpaka kesho
hahaaaWe umebadilisha ID ulijuaje jf kama kunakuweka colour..!?
anyway moja kwa moja nikukute pm yangu nianze kukufunza.
Ayaa mwayaAsante mwayae nafarijika kupata reply kama hizi sana
hahaaaaVip tukuletee TRA au maana hao marafiki lazima uwalipie kodi
daaahh hata PM haujui ..ngoja nikufaute hukoWhat's PM dear?
warembo huwa hawajitangazi, mtu atakayekuona ukuapriciate mwenyewe sio wewe ujitangaze bibieeee,au umekosa soko ndo upo market nowKama jina linavyojieleza mimi ni msichana mrembo sana nipo Dar es Salam napenda sana kujifunza hasa kutoka kwa critical thinkers!
Nafahamu yakuwa kuwa curious kuna negative na positive outcomes ila I am ready to deal with all that.
Nahitaji marafiki wa jinsia zote kunielekeza jinsi ya kutumia jf, kuweka profile picha, kuitalize, kuweka colour, kucite thread za nyuma but nina uwezo kidogo tu wa kupost new thread na kusoma coz nimekuwa nikiingia jf as a guest.
You are welcome guys.
hahaaapm maana yake uweke namba ya simu tuijue...[emoji4]
Aspirin is taken already
Abiria chunga mzigo wako mkuuHuu ulinzi kiboko [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Weka hapa iyo picha itakua profile picha automatically [emoji39]Nisaidieni basi nijue kuweka profile picha mana wapo wanaopinga ya kuwa I am not very beautfull .
Haya mambo tulishafanyiwa na kina bujbuj inatoshaAisee.
Samahan dada.
January ndefu sana.
Tupe break
Abiria chunga mzigo wako mkuu
Miss Curious, ulitumia vigezo gani kujibatiza kuwa mrembo sana?Nisaidieni basi nijue kuweka profile picha mana wapo wanaopinga ya kuwa I am not very beautfull .
Oky poa kwako piaUsiku mwema friends tomorow is another beautfull day!!
[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]Abiria chunga mzigo wako mkuu