Miss Kagera mwaka 1999, Bridgitte Buyuya afariki dunia. Azikwa makaburi ya Bunena, Bukoba

Miss Kagera mwaka 1999, Bridgitte Buyuya afariki dunia. Azikwa makaburi ya Bunena, Bukoba

Sijui kwanini siku hizi makaburi yamekua na vimo vifupi sana kuliko zamani,sijui ni upungufu wa nguvu za mwili unaosababishwa na sababu mbalimbali,mi sijui,ok! R.I.P.
Hata maisha yenyewe ni mafupi kwanini makaburi yawe marefu?
 
Hivi hii inakuwaje Marehemu Shose Fidelis yule Mwanadada Shabiki wa Simba SC aliyefariki katika ajali ya Gari na Yeye alizaliwa mwezi May na kafariki mwezi May na huyu nae naona hapo juu kuwa alizaliwa mwezi June na kafariki mwezi June. Hivi hapa huwa hakuna Maajabu fulani labda ya Kitamaduni kama siyo hata ya Kisayansi?
Uchizi wako unajionesha kwa post zako za akili finyu... kifo ni anytime wacha tukufundishe mjinga.
 
Uchizi wako unajionesha kwa post zako za akili finyu... kifo ni anytime wacha tukufundishe mjinga.

Tafuta Tusi jingine Mkuu na siyo hilo jepesi la Mjinga kwani Psychologically tu Kila Binadamu ni Mjinga kuanzia Baba na Mama yako Mzazi.
 
Back
Top Bottom