Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo ya kudhurumiwa sijui na nini siwezi kuyaongelea. Ila ninachotaka kusema ni kwamba wote waliishiriki mchakato mzima kuanzia kumpa kibali cha kwenda US, aliyempa passport, mnunua tiketi, aliyempeleka airport, aliyemchania boarding pass, aliyemkagua na aliyemgongea exit wote watumbuliwe kwa maslahi mapana ya taifa
Kwani hujui vigezo vinavyowapa umiss mkuu? Wewe angalia tabia za mamiss wote bongo uone kama kuna mwenye akili hata mmoja.Aliempa kibali kwenda huko nani? Mtaishia kusema wakenya wakenya cheki anavoongea tu unajua hakufaa hata kuwa miss loliondo#
Mmmmmh!!...yet miss kenya was number 4 out of 117 countriesAngalia hao wanawake anaowaposti kwa mbwembwe nyingi wana sura mbaya(kwa standard za TZ).Kweli Kenya kuna wanawake wabaya ikiwa hao ndio wakali wao.
YesNikiangaliaga wanawake wanaosifiwa kuwa wazuri na Wakenya huwa nachoka kabisa...sasa huyu "zombie''si sawa na wale kina dada wanaoujiuza pale kimboka ambao wamechoka kwa maisha ya tabu na uvutaji sigara!
Huyo sijui walimuokota wapiMmmmmh!!...yet miss kenya was number 4 out of 117 countries
Miss tanzania was 78 uuuuuuwf!!
Kweli standards za tanzania ni yop notch sawa sawa
[emoji108][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Hayo ni maoni yako yasiyo na dhibitisho lolotemkenya popote anapoenda duniani akikutana na mtz huwa anatafuta ni eneo gani nitamdestroy. nimesoma na wakenya kadhaa ulaya na ndio walikuwa maadui wangu wakubwa kuliko wazungu. wazungu tulikuwa tunaelewana mno lakini mkenya atafanya juu chini hata kuharibu hata mahusiano uliyo nayo na wengine kwasababu tu wewe ni mtz. wakenya nafikiri wameumbwa kupambana na watz. nasema toka moyoni kabisa, hii kitu wanayo sana.
[emoji23][emoji23]Figisu za kimataifa anaziweza Chibu tu wengine wote wamefeli
Hayo ya kudhurumiwa sijui na nini siwezi kuyaongelea. Ila ninachotaka kusema ni kwamba wote waliishiriki mchakato mzima kuanzia kumpa kibali cha kwenda US, aliyempa passport, mnunua tiketi, aliyempeleka airport, aliyemchania boarding pass, aliyemkagua na aliyemgongea exit wote watumbuliwe kwa maslahi mapana ya taifa kwasababu kila mmoja miongoni mwao alikuwa na nafasi ya kuliokoa taifa na kadhia ya aibu hii
She's a good wife material, unaonaje tukupe? 🙂Kwani huyu hapa hakujua kuwa miss world ni kuwa mjaja!! Kulialia hapa na vijisababu! Dah! Inamuuma anavyoongea huyu! Mpe madafu atulie!
Haha mkuu, umegalagaza kwenye matope huoni kitu tena, kwa hiyo kwa kifupi, someone could've woken up and say "Ooooh hell no...!!!" [emoji1]