Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji1]How far are you? Ili tujue tukuvumilie kwa muda gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji1]How far are you? Ili tujue tukuvumilie kwa muda gani?
[emoji24] [emoji24] [emoji24]Ndiyo maana... Oouh. .. basi kwa maana hiyo umeshiriki kuivunja
Ukiachika utajuaaaHata mimi sijui kwakweli.
Unatamani niachike eeh?Ukiachika utajuaaa
Hebu ukoo shikilia ndoa yako.. uachike nikuweke wapi na watoto wote hao.Unatamani niachike eeh?
Kwani nimesema hata nikiachika nakuja kwako? Yaani nijiongezee watoto wa kulea!! Hawa wananitosha.Hebu ukoo shikilia ndoa yako.. uachike nikuweke wapi na watoto wote hao.
[emoji16][emoji16][emoji16] shindwa.Kwani nimesema hata nikiachika nakuja kwako? Yaani nijiongezee watoto wa kulea!! Hawa wananitosha.
Naamini hapo unaamanisha watoto nilioachiwa na huyu mke aliyenikimbia shemeji?Kwani nimesema hata nikiachika nakuja kwako? Yaani nijiongezee watoto wa kulea!! Hawa wananitosha.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Naamini hapo unaamanisha watoto nilioachiwa na huyu mke aliyenikimbia shemeji?
Si ndiyo nimeelewa hivyo sasa [emoji115][emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Ushaelewa bwana.
Ulikuwa bize MMU kumbe wenzako wanapewa vyuraMweeeh sijui nilikuwa wapi wakati wenzangu wanapewa
DahRoger ndio nini kakashemeji?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Huyo hana domo kubwa.
You meant Rogie au Roger?Dah
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
HahahahahaUlikuwa bize MMU kumbe wenzako wanapewa vyura
Abee!