mwanajamii mpya
JF-Expert Member
- Mar 18, 2017
- 554
- 445
Hivi wadada kwanini mnatufanyia hivi??? Huu ni unyanyasi wa kijinsia..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sumbai ulipoteleaga wapi we mkaka?Teh teh
Utaachaje???? Labda kama alikuwa mlokole
HahahahahaaNyie vijana wa TZ KINALA mzee wa High~jumps, mko swalamaaa? Mzee wenu nilikuwa naye pale Posta last week.
Mwanzoni mwa miaka ya ......Hahaha.... mwaka gan ulikuwepo? Jibu chemba kama utajali
Nipo Dada v.......Sumbai ulipoteleaga wapi we mkaka?
Oouh.....Mwanzoni mwa miaka ya 2010's....
Viwanja vilevile sijabadili aise...Nipo Dada v.......
Hizi harakati zq kutafuta mkate zinatupoteza....
Siku hizi unacheza mitaa ya wapi?
Hahaha naamini kazeeka saana aseeh.. msalimie saana...Nyie vijana wa TZ KINALA mzee wa High~jumps, mko swalamaaa? Mzee wenu nilikuwa naye pale Posta last week.
Sister Vale nitakuja uniombee maana hiyo amri ya uwongo imenishida. Au umestaafu usister!Viwanja vilevile sijabadili aise...
Huyu Daby angalia asikudanganye
Haya ukuje na sadaka iliyonona tuvunje hiyo madhabahu ya uongoSister Vale nitakuja uniombee maana hiyo amri ya uwongo imenishida. Au umestaafu usister!
Kumbe Alisha kudanganyaViwanja vilevile sijabadili aise...
Huyu Daby angalia asikudanganye
Mgalatia amekuwa sister??? DahSister Vale nitakuja uniombee maana hiyo amri ya uwongo imenishida. Au umestaafu usister!
Kuna kapepo flani hivi kamemvaa huyu kijanaKumbe Alisha kudanganya
Tehteh...Haya ukuje na sadaka iliyonona tuvunje hiyo madhabahu ya uongo
Huyu sister ila sio kwamba ndiyo ukomo wa mambo mengine....Mgalatia amekuwa sister??? Dah
Koh kohKuna kapepo flani hivi kamemvaa huyu kijana
Now u'r talking hasa hapo kwenye zaka[emoji4]Tehteh...
Hata kateksta anatoa sadaka!
Nitatoa hadi zaka kabisaa
Ona sasa kameongezeka kengine kakusahau...Koh koh
Kapepo gani Vale tena!
Hivi ulishanishauri eeeh?Now u'r talking hasa hapo kwenye zaka[emoji4]
Hakika maombi yatakua yanguvu sana