Miss Natafuta live interview on DJ sepetu show!

kipi unavunia na kipi unajutia??
 
Hahah tunafurahi sikia kuwa mpole!
Una elimu gani l mean taaluma
Na sasa unafanya shughuli zip

muosha rungu
 
kipi unavunia na kipi unajutia??
nina mambo mengi ya kujivunia maishani .kama kuwa na wazazi wazuri,ndugu wazuri wanaonipenda,elimu,afya mengi tu.yapo pia mambo mengi naregret but that's life sina la kufanya wala siyapi nafasi.naangalia mambo mazuri yaliyopo mbele yangu na sio mabaya ambayo yalishapita
 
Hongera sana, kimalengo unajiona wapi miaka mitano ijayo??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…