Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,448
Anasoma kwanza, ujue ukipitwa parefu unachanganyikiwa kabisaa..... Mie naanziaga mwisho kwanza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anasoma kwanza, ujue ukipitwa parefu unachanganyikiwa kabisaa..... Mie naanziaga mwisho kwanza
Poa ila punguza kuongozwa nahisia mkuuNimeshafuta bandiko langu.
Ila ninavyojua mimi huyo ni Me .
Umenikumbusha mbaliiiiiii[emoji4][emoji4][emoji4]Haya maisha bwanaa.....weee achaaa
Kinacheza km sungura achezeshavyo midomo yakeHuku ninaiangalia!! Kitu che...Ku..nd..u!!
muosha rungu
Haaaaa yani sitaki mwanaume wakupishana kwenye maduka ya cosmetics[emoji23] [emoji23] [emoji23]Au shem ni Ben 10 [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Mpe siku yake umfanyie interview we muosha masufuriaTulia nimfaudu kapeace!
muosha rungu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Anasoma kwanza, ujue ukipitwa parefu unachanganyikiwa kabisaa..... Mie naanziaga mwisho kwanza
Uwiiiii baba d mbona unataka kuvunja ndoa yangu lakini[emoji23] [emoji23] [emoji23]Usinambie mchepuko unaingiza mpaka ndan
[emoji23][emoji23][emoji23]yaani mnanifurahisha mjueNdio na leo umemuambia mnuno unaendelea[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Asantesura ,umbo singalii
moyo awe na moyo wa upendo
kipato ,chochote tutasaidiana ila ajue majukumu yake ya familia mimi ni msaidizi tu. asiwe mlevi mengine tutarekebishana
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Aisee ebu aulize maswali yake jamaan leo tunaweza mpoteza muosha masufuria
Apotee mara ngapi sasa[emoji23] [emoji23] [emoji23]Aisee ebu aulize maswali yake jamaan leo tunaweza mpoteza muosha masufuria
WoooiiiHata me naona dada ujue
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]OK sawa na salamu zangu mfikishie yule mzee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapana achana na marioo ujue cuzoo huyo Ben 10Haaaaa yani sitaki mwanaume wakupishana kwenye maduka ya cosmetics[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kama mie mmeniacha tayariYani ukichelewa dk 1 umeachwa mbali sana
kama nikipata baba bora watatu inshalahAsante
Una mpango wa kuwa na watoto wangapi
Na leo kaambiwa [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] atatuulia shemela wetuNdio na leo umemuambia mnuno unaendelea[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Huna swali kweeeliLeo interview inafurahisha sana wii