Miss natafuta wa JF audanganya umma

Mamaa Fb. Nafurahi sana kukuona hapa JF.
Inawezekana huyo ni mwenyeji kabisa with new ID ubaya wa id mbili atasahau siku atajijibu
Kabisaaa na anamwaribia mshana jr [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]kwa nini unafurahi kuniona hapa jf??
 
Ujue mimi nlikuwa nawachora tu wanavyoropoka kuhusu mtu wangu wa nguvu .
Sikujua kama kuna watu wataamini huo uzushi.
Watu wa ajabu sana,
Yani tumekaa na Miss Natafuta kwa muda mrefu sana hapa afu mtu anakutana na uzushi anaamini bila ku judge.
Bora wewe umetuondolea utata huuu maana Hali ilishakua mbaya
 
Hivi golf wanachezaga wanawake?
 
Anajua mengi kweli. Ila nahisi hawa vidume walimtongoza miss natafuta akawatolea nje sasa wanampa presha ya kumsingizia. Hata kama ni dume so what haiwahusu. Tatizo itakua wanalazimisha aonane nao uso kwa uso(danger)
kuna watu washamba sana mkuu? labda walitaka niwatongoze
 
wajinga tu hao wala sina muda wa kuwajibu.ningekuwa me si ningeshakutongoza?
Bibiye una subira siwezi kuamini... Bado kidogo niapply the general rule "silence means acceptance" ......endelea kuwapiga vibuti... Sipendi tabia ya kuonjaonja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…