Miss natafuta wa JF audanganya umma

Miss natafuta wa JF audanganya umma

Mmh mgeni mwenzangu umekuja kasi muda si mrefu umeanzisha thread ya utambulisho mara hii umeshamfatilia miss natafuta kujua kama ni mwanaume au mwanamke.

Unachafua ID za watu
unafuatilia habari za mtu mwenye fake id hivi unajua kuwa miss natafuta na mwanaume kabisa anajifanya dem
 
Post inamuhusu miss natafuta naona yanazuka mengine humu!miss uje huku umalize msala huu watu wamekubaini halafu km wapo thiriathi
 
Saa zingine msiwe serious sanaa humu kwa mambo ya kipuuzi....palipo na userious nawe unaact accordingly
 
Mmh mgeni mwenzangu umekuja kasi muda si mrefu umeanzisha thread ya utambulisho mara hii umeshamfatilia miss natafuta kujua kama ni mwanaume au mwanamke.

Unachafua ID za watu
nimembaini kwa kutumia mbinu zangu binafsi usiulize kivipi ila jua miss natafuta ni mwanaume na ntakupa jina analotumia instagram,huyu hana tofauti na shilole kiuno wa insta
 
Ingekuwa vyema Mods wakibaini mtu mwenye kudanganya jinsia Kwa post tata au kwa njia yoyote akapigwa ban ya kudumu!
 
Kupitia Uzi wake wa Jana tarehe 31.12.2016 mrembo maarufu jf ajulikanaye kwa jina la miss natafuta aliueleza umma wa jf kwamba ameamua Ku block account yake ya jf na kujikita katika kuendeleza familia yake

Cha kushangaza Leo ameonekana akitoa comments kwa jina lile lile katika habari mbali mbali hapa jf

Je huyu tuendelee kumwamini tena??

1.1.2017
Au kuna waliomsihi asifanye hivyo, akawaonea huruma. Warembo wachache humu. Aah aah aah!
 
siku mkijilengesha kwa miss natafuta mtajuta,ni mwanaume jamani anakaa kinondoni na huwa anashinda sana pale mwenge vinyago
 
sijawahi kujiunga na jf hii ni akaunti yangu ya kwanza kabisa,naitwa mshana jeremy raymond mshana au kifupi mshanajr ukipenda
umejuaje kama huyo miss ni dume kama umejiunga leo?
 
Duuh!! Watu mnavyo copy ID za watu.

Mshanajr na mshana jr
Wabongo tuna tatizo hili sana. Mmoja akilima matikiti maji basi wote wanavamia mpaka biashara inakuwa zero kwa sababu market inakuwa flooded. Halafu tena tunaanza kulalamika eti serikali haiwajali wakulima wa matikiti maji. Ni copy and paste kila kitu hata bila kuangalia undani na madhara yake.

Huyu kaona Mshana Jr. ni mashuhuri hapa JF na bila kuelewa umashuhuri huo unatokana na nini naye kajitosa kujiita MshanaJr. Angejua sidhani hata angedriki kuchezea jina hili lenye "kuogofya" hapa JF.

Mshana Jr hebu njoo umwonyeshe huyu dogo kuwa King of Msata siyo mtu wa kuchezea. Ikibidi tuimbe "Parapanda italia parapanda..." kabisa [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Miss Natafuta ni mwanaume ila Bahati mbaya ni Shoga, anaishi Kinondoni mkwajuni ,namjua vema. Jamaa siyo rizki !!

Kabila lake msukuma, alifikiaga Kitanda alivyotoka Mwanza na baadae biashara ilivyonoga akahamia Mkwajuni.

God have mercy to miss natafuta
Ati kabila lake ni lipi? Ushindwe na ulegee mkuu [emoji34][emoji34][emoji34]
 
Miss Natafuta ni mwanaume ila Bahati mbaya ni Shoga, anaishi Kinondoni mkwajuni ,namjua vema. Jamaa siyo rizki !!

Kabila lake msukuma, alifikiaga Kitanda alivyotoka Mwanza na baadae biashara ilivyonoga akahamia Mkwajuni.

God have mercy to miss natafuta
It takes one to know one! Don't misjudge my statement umemjuaje mkuuu? anyway asante kwa taarifa kumbe kuna majini watu humu! Handle everybody with care and wisdom kama mambo yenyewe ndio haya!
 
Back
Top Bottom