Msaga mashine wa kijiji
Member
- Dec 24, 2016
- 33
- 28
Mie mwenyewe simwelewagi kabisa huyo mdada nahisi ni dume au zombie au msukule wa yule mzee naniliu.[emoji40]Kupitia Uzi wake wa Jana tarehe 31.12.2016 mrembo maarufu jf ajulikanaye kwa jina la miss natafuta aliueleza umma wa jf kwamba ameamua Ku block account yake ya jf na kujikita katika kuendeleza familia yake
Cha kushangaza Leo ameonekana akitoa comments kwa jina lile lile katika habari mbali mbali hapa jf
Je huyu tuendelee kumwamini tena??
1.1.2017